Jeshi la polisi latolea ufafanuzi tukio la bodaboda kusemekana kutekwa, wasema ni mhalifu aliyekuwa anatafutwa muda mrefu na polisi

Jeshi la polisi latolea ufafanuzi tukio la bodaboda kusemekana kutekwa, wasema ni mhalifu aliyekuwa anatafutwa muda mrefu na polisi

Tuna vyombo vya dola kwann umteke mtu ? je unaona sawa tuache vyomb vya dola na tuanze tekana? kikubwa tupambane na vyombo ambavyo vinakiuka misingi yao ya kiutumishi , tukicheka cheka soon tunakuwa HAITI , TABIA NI MAZOEA

ANGALIA HUU MWAKA WA UCHAGUZ WALA HAWAJALI KAMA ZAMAN , WANAKATA UMEME MPK MARA 20 kwa siku moja , wameweka kodi ya maji hadi kweny umeme na ukilipia maji wanakata pia kodi yao ya maji , yaan UMEME WA REA tunalipia hata tusiohusika , yaan ccmu kwa sasa hawajali lolote wanaipeleka nchi shimoni na wajinga wachache wakipewa sembe kg 5 wanasahau kesho wanakingia kifua udhalifu wa ccmu
Tena bora huyu kakamatwwa watu wameona kuna wengine wana deal nao kimya kimya
Hawarudi....mkuu kuna watu watukutu bana

Ova
 
Amekamatwa kistaarabu sana na kwa huruma kubwa sana. Maana ningekuwa ni mimi ndiye polisi.yule mhalifu angekimbia halaka sana kupanda gari na kuomba kufikishwa polisi Mwenyewe
Wewe ni Saddist furaha yako ni kuoma mateso kwa wengine.

Siasa za chuki zimekuuharibu ukiwa bado Kijana. Mzee uspobadilika hifiki mbali.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Jeshi letu la Polisi Nchini limetoa ufafanuzi wa kina juu ya video mjongeo iliyokuwa ikisambaa mitandaoni ikionyesha dereva bodaboda au mtu mwenye pikipiki akikamatwa na watu waliovaa kiraia nakisha baadaye kupakizwa kwenye gari nyeusi na kuondoka naye.

Jeshi letu la polisi limesema tukio hilo lilifanywa na askari wetu kwa mtu huyo ambaye alikuwa ni mhalifu wa makosa mbalimbali ya uporaji kwa kutumia pikipiki.

Kwa hiyo watanzania tuache mihemuko na lawama na kutupa maneno yasiyo na ukweli. Tuwe watu wa subira na kushirikiana na vyombo vyetu vya ulinzi kupata taarifa rasmi.

View attachment 3245354

Soma: Video: Mtanzania adaiwa kutekwa mchana kweupe huko Kibaha
Mhalifu askari anampiga kwa kumponda na jiwe kama anapasua kokoto🙌😀
 
Tena bora huyu kakamatwwa watu wameona kuna wengine wana deal nao kimya kimya
Hawarudi....mkuu kuna watu watukutu bana

Ova
Watu watukutu wapo sana.. lakini serikali yetu bwana ya ajabu sana. Wezi wenyewe wako huko kwenye system. Hao waokota kuku hawana impact
 
hv kwa matukio ya miaka hii 2 bado unakamata mtu namna ile ? hv ni kwel huyu boda boda ni tishio kias cha kumshika na mitutu ? mtu anaeomba msaada kwa raia ? Mzee kibao walimshika na mitutu tulipokaa kimya alikutwa wap ? hv hawa unawatetea wameua zaid ya watu 100 kweny mwaka uliopita ,unapata wap uhalali wa kushabikia namna hiyo ya ukamataj ? hv chuo cha polisi wanafundishwa nn ? mbona ukamataj huu haufanan na mtu aliyeend kozi za kijeshi , uvaaji pia ni kama panya road , watu wanafika 200 tangu mwaka 2023 hawajulikan walipo , Mdude wa chadema alishikwa hv hv na hatukujuwa alipo na hata kituo waliwekwa wenzio hadi kituo cha mkoa hakwepo , walienda mficha walipoona watu wamechachamaa ndo wakamuachia

TUTATETEA UTEKAJI NA MAUAJI MPK LINI ? AU MPK WW UWE MUHANGA NDO UTAELEWA TUNACHOPIGIA KELELE ?
Tatizo hapa kuna ingiliana mambo mawili siasa na kijamii
Na egemea sana upande wa kijamii na polisi
Narudia tena kuna watu watukutu sana mkuu

Ova
 
Unao uwezo huo? Au kwa kuwa uko nyuma ya keyboard na umekaa sebuleni kwa mume wa dada yako!!
usione watu wapo kimya ila amin ipo siku nchi itanuka , hata Somalia watawala na machawa wao waliudharau umma ila siku moja mji mzima kila mtu alikuwa na silaha na kila mtawala na chawa wake walichomwa moto kama kuku na familia zao .

MNATETEA UDHALIMU ILA KWENY HII DUNIA HAKUJAWAI KUWA NA MSHINDI WA MUDA WOTE LZM KUNA MUTA ATAONJA JOTO YA DUNIA , CCMU MUDA WAO WAJAAA
 
tetea watekaji wenzio ipo siku tutawatia viberiti , usione watu wapo kimya ila ukimya ni mbaya sana , jitie kiburi ila amin ipo siku ccmu mtatafuta pa kutokea swala la muda tu
Wewe kibaka watakuchoma na petrol acha ukibaka haraka sana!
 
1740036881746.jpg
 
usione watu wapo kimya ila amin ipo siku nchi itanuka , hata Somalia watawala na machawa wao waliudharau umma ila siku moja mji mzima kila mtu alikuwa na silaha na kila mtawala na chawa wake walichomwa moto kama kuku na familia zao .

MNATETEA UDHALIMU ILA KWENY HII DUNIA HAKUJAWAI KUWA NA MSHINDI WA MUDA WOTE LZM KUNA MUTA ATAONJA JOTO YA DUNIA , CCMU MUDA WAO WAJAAA
Naona unakazana sana kutetea wahalifu na uhalifu .
 
  • Thanks
Reactions: UCD
Watu watukutu wapo sana.. lakini serikali yetu bwana ya ajabu sana. Wezi wenyewe wako huko kwenye system. Hao waokota kuku hawana impact
Utakuta polisi anakamata mtuhumiwa anafungwa magereza alafu anatoka 😄
Haya mambo ya kumalizana na majambazi yalianza tokea enzi za geweee hukooo rpc dar

Ova
 
Wewe ni Saddist furaha yako ni kuoma mateso kwa wengine.

Siasa za chuki zimekuuharibu ukiwa bado Kijana. Mzee uspobadilika hifiki mbali.
Siwapendi wahalifu mimi hata siku moja. Sisi kwetu wahalifu huwa wanauwawa kabisa na wananchi
 
usione watu wapo kimya ila amin ipo siku nchi itanuka , hata Somalia watawala na machawa wao waliudharau umma ila siku moja mji mzima kila mtu alikuwa na silaha na kila mtawala na chawa wake walichomwa moto kama kuku na familia zao .

MNATETEA UDHALIMU ILA KWENY HII DUNIA HAKUJAWAI KUWA NA MSHINDI WA MUDA WOTE LZM KUNA MUTA ATAONJA JOTO YA DUNIA , CCMU MUDA WAO WAJAAA
Uko eneo gani tuje tukunukishe mapema tu.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Jeshi letu la Polisi Nchini limetoa ufafanuzi wa kina juu ya video mjongeo iliyokuwa ikisambaa mitandaoni ikionyesha dereva bodaboda au mtu mwenye pikipiki akikamatwa na watu waliovaa kiraia nakisha baadaye kupakizwa kwenye gari nyeusi na kuondoka naye.

Jeshi letu la polisi limesema tukio hilo lilifanywa na askari wetu kwa mtu huyo ambaye alikuwa ni mhalifu wa makosa mbalimbali ya uporaji kwa kutumia pikipiki.

Kwa hiyo watanzania tuache mihemuko na lawama na kutupa maneno yasiyo na ukweli. Tuwe watu wa subira na kushirikiana na vyombo vyetu vya ulinzi kupata taarifa rasmi.

View attachment 3245354

Soma: Video: Mtanzania adaiwa kutekwa mchana kweupe huko Kibaha
Hii ndo Tanzania yetu ....Dah 😜
 
Back
Top Bottom