Jeshi la Polisi lawakamata watuhumiwa 4 kati ya 6 waliofanya tukio la kumlawiti binti wa 'Yombo'. Wasema binti yupo salama

Acheni ujuaji raia, jeshi la polisi lipo vizuri kama huamini fanya uhalifu kimbia uone,
Mnaowatetea waliosambaza video mmeshindwa kujiuliza swali rahisi sana, video waliipata wapi hadi waanze kuisambaza? hapo ndipo polisi walipoanzia, hongera jeshi la polisi, hongera Mama Samia, tunaitaka Tanzania ya Amani.
 
Haya ya Umalaya wanayapatia point sana ila tukija kwenye issue za utekwaji wa Wazalendo jeshi linakua kama halipo. Shenzi sana.
 
Hapo Samia kafanya nini ndugu yangu?
 
Kumbe serikali ipo.na ina meno.
Sasa kumbe mmefanya tukio toka may huko mnakuja kufeli mwezi wa 8.
Ila HYO YOTE.HAKI YA MTU HAIPOTEI.
kazi nzuri polisi tanzania. Ila na nyie kuteka watu muache
 
Tukio kumbe ni la Mei😥 au sijasoma vizuri.
Na lilifanyika Dodoma Swaswa. Kumbe! Au walikua ni majirani Sema walikua Uchi Siwatambui kabisa.
Eti.kutoka may huko.sijui wamewashwa na nini kuzisambaza
Ila acha wavune walichopanda.
Ili iwe fundisho kwetu.
 
Dunia ngumu sana hii
Kwa mujibu wa taarifa Tukio limetokea mwezi wa Tano, hapo hapo tunaambiwa binti yupo sehemu kahifadhiwa akipatiwa matibabu.
Kabakwa zaidi ya miezi miwili iliyopita matibabu anapata kipindi hiki.
Hii ngumu kumeza
 
Dunia ngumu sana hii
Kwa mujibu wa taarifa Tukio limetokea mwezi wa Tano, hapo hapo tunaambiwa binti yupo sehemu kahifadhiwa akipatiwa matibabu.
Kabakwa zaidi ya miezi miwili iliyopita matibabu anapata kipindi hiki.
Hii ngumu kumeza
Uenda hakusema,aliogopa mimi naona polisi wapo sahih. Asingeweza kusema alikaa na maumivu yake na stress zake.mpaka SIKU ILIPOFIKA ya kupata haki yake ilipofika.
 

Eboh!

Sasa watu watawajuaje hao watuhumiwa na Jeshi la Polisi halijaweka wazi picha zao kama Most Wanted
 
Kuna kila sababu na jeshi letu la polisi kujitafakari upya ni kwanini watu hawataki kuwaamini, kuna shida kubwa sehemu na madhara yake makubwa sana kwenye jamii. Mimi sitoi hukumu kwenye kauli hii kama ni kweli au sio kweli, ila naongelea maoni ya watu kwa kiasi kikubwa hawazikubali kauli za polisi ni kama wanaona wanafichwa kitu. Hili sio jambo zuri polisi wanakazi kubwa ya kufanya ili liwe jeshi la kuaminika kwa vitendo na kauli.
 
Dunia ngumu sana hii
Kwa mujibu wa taarifa Tukio limetokea mwezi wa Tano, hapo hapo tunaambiwa binti yupo sehemu kahifadhiwa akipatiwa matibabu.
Kabakwa zaidi ya miezi miwili iliyopita matibabu anapata kipindi hiki.
Hii ngumu kumeza
Dunia sio ngumu ni wewe tu kichwa chako kigumu, binti alifanyiwa ukatili akaishi na maumivu hadi pale wajinga wenyewe walipovujisha video, binti katafutwa kapatikana amehifadhiwa sehem salama na kupatiwa matibabu ya kisaikolojia,
Hilo nalo ni gumu kuelewa kweli!
 
mimi nafsi haitaridhika mpaka akamatwe huyo Kapteni aliyewatuma hao vidagaa. Bila hivyo bado ni udhaifu mkubwa na janja ya nyani. na tunataka uwazi wapandishwe mahakamani na sura zao zianikwe tuwaone.
 
Asante sana mkuu
Kweli mimi kichwa kigumu, sikuelewa haya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…