Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Kapandisha uzi Mkuu!Sasa ndio umeandika nini Kamanda?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kapandisha uzi Mkuu!Sasa ndio umeandika nini Kamanda?
Au labda mimi ndio sielewi, ni tukio lilifanyika Yombo Dovya au binti ndio anaishi Yombo Dovya?Inawezekana tukio lilifanyika huko nyuma. Na eneo pia lilikuwa ni dodoma? sio Dar es salaam, yombo dovya?
Hawawez kumkamata captainBila afande mwanamke aliyefadhili shambulio hili kukamatwa tutakuwa hatuelewi kitu no double standards
WOTE KOLOKOLONI.MTUHUMIA NAMBA MOJA NI AFANDE WA KIKE ALIYEWATUMA, HUYO HAWEZI KUKIMBIA MKAMATENI NA YEYE ACHENI DOUBLE STANDARDs.
Umeandika kweli, mtu ajichakate kufanya uhalifu, watakipata tu hata ujichimbie wapiHili jeshi la polisi sio poa kwa kukamata watu! Ww jifanye tu invincible utajikuta kituo cha polisi hutaamini.
Halafu inaonekana wale wendawazimu wamepanda mtumbwi wa vibwengo hadi majina yao yametajwa sio kawaida hapa naona watu wakila 50+ years in prison
Tukio la May, limejulikana August.Tukio kumbe ni la Mei[emoji26] au sijasoma vizuri.
Na lilifanyika Dodoma Swaswa. Kumbe! Au walikua ni majirani Sema walikua Uchi Siwatambui kabisa.
Basi sawaKama wangekurupuka siku ile ya tukio tungesema huenda mambo ni yale yale ya KUBAMBIKIA lakini all in all tuiachie MAHAKAMA kama ikiwapata na HATIA au kuwaachia HURU ndio tuongee...
Lakini ni kweli yako hili Jeshi la Polisi linahitaji REFORM ya hali ya JUU kabisa.
Je Kuna ushahidi Gani kama alitembea na mume wa mtu?? Na je kama mwanaume alimdanganya Hana mke?WOTE KOLOKOLONI.
ALIYEBAKWA KOLOKOLONI KOSA KUTEMBEA NA MUME WA MTU, TUACHE DABO STANDARD.
MUME ALIYETOKA NJE YA NDOA AKAKAMATWA UGONI NAE KOLOKOLONI KOSA KUKAMATWA UGONI
ALIYEWAKODI WABAKAJI KOLOKOLONI KOSA, KUWEZESHA TUKIO LA UBAKAJI KUTENDEKA
WALIOMBAKA WOTE KOLOKOLONI KOSA LA UBAKAJI
Bila huyu…. Efforts zote ni bureMTUHUMIA NAMBA MOJA NI AFANDE WA KIKE ALIYEWATUMA, HUYO HAWEZI KUKIMBIA MKAMATENI NA YEYE ACHENI DOUBLE STANDARDs.
HII NCHI BHANAHebu soma hii kitu ndugu zangu do!!...
"Jeshi la Polisi lingependa kutoa onyo kwa baadhi ya watu ambao hawana mamlaka ya kufanya hivyo waache tabia ya kwenda kwenye eneo ambalo lilitajwa kuwa huyo binti anaishi wakimtafuta yeye na familia yake ili wawahoji au kuwaona. Kufanya vitendo vya aina hiyo ni kuwatweza utu wao na kuwatonesha majeraha waliyonayo mioyoni mwao".
Mbona hawataji kukamatwa kwa afande? Hawawezi kufungwa hao kama unabisha tuwekeane milion 2 kwa milion 2Hili jeshi la polisi sio poa kwa kukamata watu! Ww jifanye tu invincible utajikuta kituo cha polisi hutaamini.
Halafu inaonekana wale wendawazimu wamepanda mtumbwi wa vibwengo hadi majina yao yametajwa sio kawaida hapa naona watu wakila 50+ years in prison