Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maswali:-Jeshi la Polisi Tanzania limewakamata Watuhumiwa wanne kati ya sita ambao walipanga na kutekeleza uhalifu wa kumbaka na kumlawiti Msichana na kusambaza video yake mitandaoni ambapo imebainika tukio lilifanyika Swaswa Dodoma mwezi May 2024.
Taarifa ya Msemaji wa Jeshi la Polisi David Misime aliyoitoa leo August 09,2024 imesema “Watuhumiwa hao wamekamatwa Mkoani Dodoma na Mkoa wa Pwani ambao ni Clinton Honest Damas kwa jina maarufu Nyundo, Praygod Edwin Mushi, Amini Lord Lema na Nickson Idala Jakson”
“Uchunguzi unaendelea kukamilishwa sambamba na kuwasaka Watuhumiwa wawili ambao bado wamejificha ili wafikishwe Mahakamani,
kwa hawa ambao bado wamejificha kama kuna yeyote anayefahamu wamejificha kwake atoe taarifa na asipofanya hivyo wakikamatwa wakiwa nyumbani au kwenye makazi yake atakamatwa na kufikishwa Mahakamani”
View attachment 3065469
Huenda mirungi imechangiaHalafu wote ni wakristo na isitoshe ni wachaga na hili nilishahisi kitambo tu
Kwa maswali haya kuna kila dalili suala hili liko compromised na wenye vitambiMaswali:-
Hao watuhumiwa wawili waliojificha ni akina nani? Majina yao kwa nini hayajatajwa? Kwa nini picha zao hao watuhumiwa hazijawekwa hadharani? Makazi yao hao watuhumiwa waliojificha ni wapi hasa?
Jeshi la Polisi naona linazidi kupoteza mwelekeo wake, kwa nini hasa wanaficha wahalifu???
GOD BLESS THE DEADAcheni ujuaji raia, jeshi la polisi lipo vizuri kama huamini fanya uhalifu kimbia uone,
Mnaowatetea waliosambaza video mmeshindwa kujiuliza swali rahisi sana, video waliipata wapi hadi waanze kuisambaza? hapo ndipo polisi walipoanzia, hongera jeshi la polisi, hongera Mama Samia, tunaitaka Tanzania ya Amani.
Braza chunga mziki wahuni watatoboa spikaUnaumia rais wako kusifiwa!
Kama humpendi meza wembe,
#SAMIAMITANOTENA
Untouchable kwa vile ni Afsa wa jeshi😡😡😡mbona aliewatuma hamumtaji au yeye hakamatiki ?
Na mimi nasubiriMrejesho ?