Jeshi la Polisi lawakamata watuhumiwa 4 kati ya 6 waliofanya tukio la kumlawiti binti wa 'Yombo'. Wasema binti yupo salama

Maswali:-
Hao watuhumiwa wawili waliojificha ni akina nani? Majina yao kwa nini hayajatajwa? Kwa nini picha zao hao watuhumiwa hazijawekwa hadharani? Makazi yao hao watuhumiwa waliojificha ni wapi hasa?

Jeshi la Polisi naona linazidi kupoteza mwelekeo wake, kwa nini hasa wanaficha wahalifu???
 
Kwa maswali haya kuna kila dalili suala hili liko compromised na wenye vitambi
 
GOD BLESS THE DEAD
 
Kesi kusikilizwa mfululizo! Hapo ni kuhukumiwa tu! Kwa hiyo ukitaka kesi yako isikilizwe haraka hakikisha tukio limerekodiwa ktk video na kurushwa mitandao ya jamii, victims wa ubakaji wapo wengi ila kesi zinachukua miaka mingi kusikilizwa sababu matukio hayakurekodiwa au kuvujishwa mitandaoni. Usawa mbele ta sheria uzingatiwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…