Ulitaka achukue hatua saa ngapi? Ye si bingwa wa kutema cheche kwa lile domo pana Kama kinda la ndege hadi linatoa ute mweupe mdomboni? Ulitaka hatua ichukuliwe baada ya mda gani ili press iendelee?? Vipi hamuendi kukinukisha kwa maandamano? Tunataka hatua sasa nyie shwaini.Unapotaka kuhoji basi onyesha una akili na swali lako lina chembe ya akili siyo kama wanawake wanaosutana.
Tukio limetokea chini ya saa moja kwa polisi kuzuia mkutano wa Mnyika, nusu saa baadae kuna chizi anauliza Lissu kachukua hatua gani, huoni ni dalili za matatizo ya akili?
Kwani ww ni mwanaume? Maama najua wanaume wakishindwa kihalali huwa wanakubali.Naona uvumilivu unakushinda sasa!! Mwanamke ni Lissu na sijui lile tumbo inakuaje aisee
Hivi hapo na malaya wa Kimboka Buguruni mna tofauti gani? Shukuru jf hata majuha mnapewa platform muonyeshe ujuha wenuUlitaka achukue hatua saa ngapi? Ye si bingwa wa kutema cheche kwa lile domo pana Kama kinda la ndege hadi linatoa ute mweupe mdomboni? Ulitaka hatua ichukuliwe baada ya mda gani ili press iendelee?? Vipi hamuendi kukinukisha kwa maandamano? Tunataka hatua sasa nyie shwaini.
Muulize Lissu hili swaliKwani ww ni mwanaume? Maama najua wanaume wakishindwa kihalali huwa wanakubali.
Is this all?Hivi hapo na malaya wa Kimboka Buguruni mna tofauti gani? Shukuru jf hata majuha mnapewa platform muonyeshe ujuha wenu
Mkuu, na wewe ni miongoni wa Expert Members!Akili fupi sikiliza kwan CDM wamefanya press ngap na hawajazuiliwa? we hujiulizi kwann hii? kwan wakifanya tarehe 29 kuna nn? Wafanyakaz na wanafunzi wote hawakwend makzini na mashulen ila atokee mtu mmoja kashiba huko anataka Kiki aweke press na unataka achekewe utakua umeshiba bang sio bure
Na ndiyo hasa maana ya id yake.Sonona!
Swali gumu hii.Kwani na yeye katibu mkutano na wandishi wa habari anafanyia humo humo kwenye ukumbi wa mkutano wa nishati ya gas?
Umenena vema.Wakati wanatifuana Polisi CCM ilikuwa haina shida na press conference zao ahta zingefanyika kila saa maana walikuwa wanafurahi kuwa zinaua chama. Sasa wamemaliza kutifuana sasa press conference zao hawazitaki tena.
Amevunja sheria gani ya nchi?Akili fupi sikiliza kwan CDM wamefanya press ngap na hawajazuiliwa? we hujiulizi kwann hii? kwan wakifanya tarehe 29 kuna nn? Wafanyakaz na wanafunzi wote hawakwend makzini na mashulen ila atokee mtu mmoja kashiba huko anataka Kiki aweke press na unataka achekewe utakua umeshiba bang sio bure
More to follow it depends on your foolish and insane commentsIs this all?
Jana CCM yule zinjathropis na makala wa CCM walifanya mkutano wao mnazi mmoja mbona polisi hawakuenda kuuzuia?Akili fupi sikiliza kwan CDM wamefanya press ngap na hawajazuiliwa? we hujiulizi kwann hii? kwan wakifanya tarehe 29 kuna nn? Wafanyakaz na wanafunzi wote hawakwend makzini na mashulen ila atokee mtu mmoja kashiba huko anataka Kiki aweke press na unataka achekewe utakua umeshiba bang sio bure
Ila wee jamaa una ujinga nwingi sana. Sisi tulikubali kuwa Mbowe akishinda tungejikalia kimya tumuachie Chadema ila uchaguzi ulivyokuwa huru hata Mbowe angeshinda tusingemsimanga ila tungekubali yaishe. Wewe naona umejaa gubu sana. Ulitaka Lissu ashindwe au ulitaka asigombee? Kwani aliiba kura? Mbona gubu sana wewe?Is this all?
Mimi ni Mwanachadema ila hii waliyofanya akina Mnyiaka sio sawa.Jeshi la polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limezuia mkutano wa waandishi wa habari wa Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Chadema John Mnyika uliopangwa kufanyika leo Jumatatu 27/1/2025 saa tano asubuhi.
View attachment 3215420
Nje ya jengo la Makao Makuu hayo wapo askari wa jeshi la polisi kwa taarifa tulizonazo waandishi wa Jambo TV, Azam TV, Mwananchi wamezuiwa na kuondolewa eneo hilo.
View attachment 3215428
Aidha sababu zinazoelezwa juu ya kuzuiwa kwa mkutano huo inadaiwa ni uwepo wa Mkutano wa Kimataifa wa Nishati (M300). Huku ikielezwa kuwa mkutano huo wa CHADEMA ungeweza kusogezwa mbele na kufanyika kuanzia tarehe 29.
View attachment 3215422
View attachment 3215487
Pia, Soma: Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika kuongea na Waadishi wa Habari Makao Makuu ya Chama, Mikocheni
Hiki ni kiwango cha juu kabisa cha foolishness. Hiyo press conference itaathiri vipi huo mkutano wa M300?Jeshi la polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limezuia mkutano wa waandishi wa habari wa Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Chadema John Mnyika uliopangwa kufanyika leo Jumatatu 27/1/2025 saa tano asubuhi.
View attachment 3215420
Nje ya jengo la Makao Makuu hayo wapo askari wa jeshi la polisi kwa taarifa tulizonazo waandishi wa Jambo TV, Azam TV, Mwananchi wamezuiwa na kuondolewa eneo hilo.
View attachment 3215428
Aidha sababu zinazoelezwa juu ya kuzuiwa kwa mkutano huo inadaiwa ni uwepo wa Mkutano wa Kimataifa wa Nishati (M300). Huku ikielezwa kuwa mkutano huo wa CHADEMA ungeweza kusogezwa mbele na kufanyika kuanzia tarehe 29.
View attachment 3215422
View attachment 3215487
Pia, Soma: Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika kuongea na Waadishi wa Habari Makao Makuu ya Chama, Mikocheni
mbona rahisi tu, wanatumia vyombo vyao, wanarekodi wanarusha mtandaoni bila hata kuwaita waandishi. mengine waandishi wapige simu tu afafanue. hatuhitaji kugombana na polisi kwenye mambo ambayo majibu au solution tunazo. alternative mbona ipo?Jeshi la polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limezuia mkutano wa waandishi wa habari wa Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Chadema John Mnyika uliopangwa kufanyika leo Jumatatu 27/1/2025 saa tano asubuhi.
View attachment 3215420
Nje ya jengo la Makao Makuu hayo wapo askari wa jeshi la polisi kwa taarifa tulizonazo waandishi wa Jambo TV, Azam TV, Mwananchi wamezuiwa na kuondolewa eneo hilo.
View attachment 3215428
Aidha sababu zinazoelezwa juu ya kuzuiwa kwa mkutano huo inadaiwa ni uwepo wa Mkutano wa Kimataifa wa Nishati (M300). Huku ikielezwa kuwa mkutano huo wa CHADEMA ungeweza kusogezwa mbele na kufanyika kuanzia tarehe 29.
View attachment 3215422
View attachment 3215487
Pia, Soma: Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika kuongea na Waadishi wa Habari Makao Makuu ya Chama, Mikocheni
Aisee.Lissu kamtukana sana Mbowe kuwa alikua legelege na mlamba asali…. Kapanua sana domo kuonesha wenzie hawakua chochote CDM so ni zamu yake kuonesha umwamba!!