Pre GE2025 Jeshi la Polisi lazingira Ofisi ya Makao Makuu CHADEMA Mikocheni na kuzuia Mkutano wa Mnyika na Waandishi wa Habari

Pre GE2025 Jeshi la Polisi lazingira Ofisi ya Makao Makuu CHADEMA Mikocheni na kuzuia Mkutano wa Mnyika na Waandishi wa Habari

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Unapotaka kuhoji basi onyesha una akili na swali lako lina chembe ya akili siyo kama wanawake wanaosutana.

Tukio limetokea chini ya saa moja kwa polisi kuzuia mkutano wa Mnyika, nusu saa baadae kuna chizi anauliza Lissu kachukua hatua gani, huoni ni dalili za matatizo ya akili?
Ulitaka achukue hatua saa ngapi? Ye si bingwa wa kutema cheche kwa lile domo pana Kama kinda la ndege hadi linatoa ute mweupe mdomboni? Ulitaka hatua ichukuliwe baada ya mda gani ili press iendelee?? Vipi hamuendi kukinukisha kwa maandamano? Tunataka hatua sasa nyie shwaini.
 
Ulitaka achukue hatua saa ngapi? Ye si bingwa wa kutema cheche kwa lile domo pana Kama kinda la ndege hadi linatoa ute mweupe mdomboni? Ulitaka hatua ichukuliwe baada ya mda gani ili press iendelee?? Vipi hamuendi kukinukisha kwa maandamano? Tunataka hatua sasa nyie shwaini.
Hivi hapo na malaya wa Kimboka Buguruni mna tofauti gani? Shukuru jf hata majuha mnapewa platform muonyeshe ujuha wenu
 
Akili fupi sikiliza kwan CDM wamefanya press ngap na hawajazuiliwa? we hujiulizi kwann hii? kwan wakifanya tarehe 29 kuna nn? Wafanyakaz na wanafunzi wote hawakwend makzini na mashulen ila atokee mtu mmoja kashiba huko anataka Kiki aweke press na unataka achekewe utakua umeshiba bang sio bure
Mkuu, na wewe ni miongoni wa Expert Members!
 
Wakati wanatifuana Polisi CCM ilikuwa haina shida na press conference zao ahta zingefanyika kila saa maana walikuwa wanafurahi kuwa zinaua chama. Sasa wamemaliza kutifuana sasa press conference zao hawazitaki tena.
Umenena vema.
 
Akili fupi sikiliza kwan CDM wamefanya press ngap na hawajazuiliwa? we hujiulizi kwann hii? kwan wakifanya tarehe 29 kuna nn? Wafanyakaz na wanafunzi wote hawakwend makzini na mashulen ila atokee mtu mmoja kashiba huko anataka Kiki aweke press na unataka achekewe utakua umeshiba bang sio bure
Amevunja sheria gani ya nchi?
 
Akili fupi sikiliza kwan CDM wamefanya press ngap na hawajazuiliwa? we hujiulizi kwann hii? kwan wakifanya tarehe 29 kuna nn? Wafanyakaz na wanafunzi wote hawakwend makzini na mashulen ila atokee mtu mmoja kashiba huko anataka Kiki aweke press na unataka achekewe utakua umeshiba bang sio bure
Jana CCM yule zinjathropis na makala wa CCM walifanya mkutano wao mnazi mmoja mbona polisi hawakuenda kuuzuia?
 
Is this all?
Ila wee jamaa una ujinga nwingi sana. Sisi tulikubali kuwa Mbowe akishinda tungejikalia kimya tumuachie Chadema ila uchaguzi ulivyokuwa huru hata Mbowe angeshinda tusingemsimanga ila tungekubali yaishe. Wewe naona umejaa gubu sana. Ulitaka Lissu ashindwe au ulitaka asigombee? Kwani aliiba kura? Mbona gubu sana wewe?
 
Jeshi la polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limezuia mkutano wa waandishi wa habari wa Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Chadema John Mnyika uliopangwa kufanyika leo Jumatatu 27/1/2025 saa tano asubuhi.

View attachment 3215420

Nje ya jengo la Makao Makuu hayo wapo askari wa jeshi la polisi kwa taarifa tulizonazo waandishi wa Jambo TV, Azam TV, Mwananchi wamezuiwa na kuondolewa eneo hilo.

View attachment 3215428

Aidha sababu zinazoelezwa juu ya kuzuiwa kwa mkutano huo inadaiwa ni uwepo wa Mkutano wa Kimataifa wa Nishati (M300). Huku ikielezwa kuwa mkutano huo wa CHADEMA ungeweza kusogezwa mbele na kufanyika kuanzia tarehe 29.

View attachment 3215422
View attachment 3215487
Pia, Soma: Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika kuongea na Waadishi wa Habari Makao Makuu ya Chama, Mikocheni
Mimi ni Mwanachadema ila hii waliyofanya akina Mnyiaka sio sawa.

Je anaongelea jambo la Dharura
 
Jeshi la polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limezuia mkutano wa waandishi wa habari wa Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Chadema John Mnyika uliopangwa kufanyika leo Jumatatu 27/1/2025 saa tano asubuhi.

View attachment 3215420

Nje ya jengo la Makao Makuu hayo wapo askari wa jeshi la polisi kwa taarifa tulizonazo waandishi wa Jambo TV, Azam TV, Mwananchi wamezuiwa na kuondolewa eneo hilo.

View attachment 3215428

Aidha sababu zinazoelezwa juu ya kuzuiwa kwa mkutano huo inadaiwa ni uwepo wa Mkutano wa Kimataifa wa Nishati (M300). Huku ikielezwa kuwa mkutano huo wa CHADEMA ungeweza kusogezwa mbele na kufanyika kuanzia tarehe 29.

View attachment 3215422
View attachment 3215487
Pia, Soma: Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika kuongea na Waadishi wa Habari Makao Makuu ya Chama, Mikocheni
Hiki ni kiwango cha juu kabisa cha foolishness. Hiyo press conference itaathiri vipi huo mkutano wa M300?
 
Jeshi la polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limezuia mkutano wa waandishi wa habari wa Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Chadema John Mnyika uliopangwa kufanyika leo Jumatatu 27/1/2025 saa tano asubuhi.

View attachment 3215420

Nje ya jengo la Makao Makuu hayo wapo askari wa jeshi la polisi kwa taarifa tulizonazo waandishi wa Jambo TV, Azam TV, Mwananchi wamezuiwa na kuondolewa eneo hilo.

View attachment 3215428

Aidha sababu zinazoelezwa juu ya kuzuiwa kwa mkutano huo inadaiwa ni uwepo wa Mkutano wa Kimataifa wa Nishati (M300). Huku ikielezwa kuwa mkutano huo wa CHADEMA ungeweza kusogezwa mbele na kufanyika kuanzia tarehe 29.

View attachment 3215422
View attachment 3215487
Pia, Soma: Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika kuongea na Waadishi wa Habari Makao Makuu ya Chama, Mikocheni
mbona rahisi tu, wanatumia vyombo vyao, wanarekodi wanarusha mtandaoni bila hata kuwaita waandishi. mengine waandishi wapige simu tu afafanue. hatuhitaji kugombana na polisi kwenye mambo ambayo majibu au solution tunazo. alternative mbona ipo?
 
Lissu kamtukana sana Mbowe kuwa alikua legelege na mlamba asali…. Kapanua sana domo kuonesha wenzie hawakua chochote CDM so ni zamu yake kuonesha umwamba!!
Aisee.

Hili andiko limejaa hasira.

Kapanua Sana domo...

Sasa Lissu alikuwa anasema Polisi wakizuia mkutano atalazimisha ufanyike?

Au Lissu alikuwa anazungumzia maridhiano yasiyojulikana tunaridhiana nini?

Unaweza kutuambia CHADEMA walitaka CCM waridhie nini na CCM nao walitaka CHADEMA nao pia waridhie nini ili nini kitokee!?

Hizi hasira dhidi ya ushindi wa Lissu na maombi yenu kutaka asifanikiwe kuiongoza CHADEMA chanzo chake ni nini au CHADEMA itafaidika vipi na hizi chuki zenu Kwa Lissu?

Hivi angeshinda Mbowe ungefurahi Mbowe asakamwe na waliokuwa wanamuunga mkono Lissu?
 
Back
Top Bottom