Pre GE2025 Jeshi la Polisi lazingira Ofisi ya Makao Makuu CHADEMA Mikocheni na kuzuia Mkutano wa Mnyika na Waandishi wa Habari

Pre GE2025 Jeshi la Polisi lazingira Ofisi ya Makao Makuu CHADEMA Mikocheni na kuzuia Mkutano wa Mnyika na Waandishi wa Habari

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Lissu yupo atawakemea watanywea maana Ana mdomo mpana!!
Mbowe alikuwa mshenzi sana na legelege kupindukia.
Lissu ni kiboko wa CCM akifika hapo makao makuu Polisi watatimua mbio.
 
Ni ujinga mtupu hawana kazi za kufanya ambazo ni kuwalinda raia na mali zao.

Au huo mkutano wa nishati ndio wanafikiri ni kipaumbele kwa kila mtu kuangalia au kusikiliza.?
 
R.I.P Magufuli ulisingiziwa mengi
Hakusingiziwa yeye ndiye muanzilishi wa upuuzi wa ukandamizaji. Na asirestishwe in peace abebeshwe matofali arushwe kichurachura huko.
Kumbangua risasi ya kichwa Ben Saanane unaona sawa?
 
Ni kama vile huo mkutano inabidi shughuli nyingine zote zisimame sijui na kwingine kunakwua hivi. Mfano kama kuna mkutano wa baraza kuu la UN pale newyork kiila jambo huwa linasimama?
Huu ujinga upo bongo tu
 
Wewe uliyekuwa na hiyo elimu imekufikisha wapi? Mimi nakuona boya tu. Ulitaka watu wote tuwe majasusi,pumbavu.
Imenifikisha sehem ambayo naelewa kwann press inazuiliwa hivyo imenisaidia kweny uelewa wa mambo. Sasa kama unakiri hauna hio elimu usibishe weny elimu tukiktoa darasa unatakiwa ukae chini utusikilize sio unakuja na mihemko na matusi.
 
Mkutano wa hicho wanachokiita Nishati safi na mkutano wa CHADEMA inaingiliana vipi!
 
Jeshi la polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limezuia mkutano wa waandishi wa habari wa Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Chadema John Mnyika uliopangwa kufanyika leo Jumatatu 27/1/2025 saa tano asubuhi.

View attachment 3215420

Nje ya jengo la Makao Makuu hayo wapo askari wa jeshi la polisi kwa taarifa tulizonazo waandishi wa Jambo TV, Azam TV, Mwananchi wamezuiwa na kuondolewa eneo hilo.

View attachment 3215428

Aidha sababu zinazoelezwa juu ya kuzuiwa kwa mkutano huo inadaiwa ni uwepo wa Mkutano wa Kimataifa wa Nishati (M300). Huku ikielezwa kuwa mkutano huo wa CHADEMA ungeweza kusogezwa mbele na kufanyika kuanzia tarehe 29.

View attachment 3215422
View attachment 3215487
Pia, Soma: Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika kuongea na Waadishi wa Habari Makao Makuu ya Chama, Mikocheni
Kweli jeshi linajitaji vijana wa Kisasa,yaani taarifa ya siku nzima iwe ni nishati tuu!
 
Back
Top Bottom