Jeshi la Polisi lianze uchunguzi kwa kuwahoji waliokuwemo kwenye basi moja na Ali Kibao, walioona tukio la kutekwa

Jeshi la Polisi lianze uchunguzi kwa kuwahoji waliokuwemo kwenye basi moja na Ali Kibao, walioona tukio la kutekwa

Hilo tukio la kutekwa Kwa Mzee Kibao halikufanywa sirini, limefanywa mchana kweupe na hao watekaji Wala hawakuwa na hofu, kwa kuwa walimshusha toka Kwenye Bus la Tashriff, lililokuwa linaelekea Tanga, eneo la Tegeta Kibo complex.

Mashuhuda wa tukio Hilo la kutekwa Kwa Mzee Kibao na hatimaye kuteswa na kuuawa kinyama, walijitambulisha kama ni askari Polisi waliovaa kiraia.

Sasa kama kweli Jeshi letu la Polisi litakuwa "serious" kabla ya jioni ya leo, litakuwa limewakamata watu wote waliohusika na unyama wa hali ya juu wa kumteka Mzee wetu Kibao na baadaye kumpiga sana Hadi kumuua na kummwagia tindikali usoni Iii asitambulike.

- CHADEMA: Mzee Ally Kibao ametekwa na Vyombo vya Ulinzi na Usalama akiwa kwenye basi. Usalama wa Taifa waeleze alipo

Hao watekaji walikuwa na machine gun, pingu, vitu ambavyo ni katika vyombo vya usalama nchini, ambavyo wanavimiliki.

Bila shaka yoyote, mashuhuda waliziona hizo gari za watekaji, Kwa kuwa tukio lenyewe lilifanyika mchana kweupe Kwa hiyo wapo baadhi ya mashuhuda walizikopi "number plate" za magari hayo, Kwa hiyo itakuwa kazi rahisi kufuatilia ni nani mmiliki wa gari hizo.

Hata hivyo Ili uchunguzi huo usivurugwe tunamuomba Rais Samia, achukue hatua ya dharula ya kuwafuta kazi mara moja, IGP Wambura na Kamanda wa Polisi wa Kanda maalum ya Dar, afande Muliro, kwa kuwa kuendelea kuwepo kazini kwa maafandec hao kutavuruga uchunguzi wa tukio Hilo baya kabisa, Kwa kuwa wao Police ni "main suspects" wa huo utekaji.

Mungu ibariki Tanzania
Hahahahahaha wanajua yoote .....wewe ndio hujui.....jibu moja tu Kifo ni kifo tu
 
Hilo Jeshi la Polisi, ndiyo "main suspects" wa unyama huu wa kutekana na kuuwana.
Full Stop
Sheria ilipopitishwa tulikaa kimya sasa jamaa wana power na hawagusiki wana kinga....sijui kama tunaelewanaa
 
Sheria ilipopitishwa tulikaa kimya sasa jamaa wana power na hawagusiki wana kinga....sijui kama tunaelewanaa
Bunge lenyewe linalopitisha sheria ni la chama kimoja, sisi wengine hatupaswi kulaumiwa😳
 
Hilo tukio la kutekwa Kwa Mzee Kibao halikufanywa sirini, limefanywa mchana kweupe na hao watekaji Wala hawakuwa na hofu, kwa kuwa walimshusha toka Kwenye Bus la Tashriff, lililokuwa linaelekea Tanga, eneo la Tegeta Kibo complex.

Mashuhuda wa tukio Hilo la kutekwa Kwa Mzee Kibao na hatimaye kuteswa na kuuawa kinyama, walijitambulisha kama ni askari Polisi waliovaa kiraia.

Sasa kama kweli Jeshi letu la Polisi litakuwa "serious" kabla ya jioni ya leo, litakuwa limewakamata watu wote waliohusika na unyama wa hali ya juu wa kumteka Mzee wetu Kibao na baadaye kumpiga sana Hadi kumuua na kummwagia tindikali usoni Iii asitambulike.

- CHADEMA: Mzee Ally Kibao ametekwa na Vyombo vya Ulinzi na Usalama akiwa kwenye basi. Usalama wa Taifa waeleze alipo

Hao watekaji walikuwa na machine gun, pingu, vitu ambavyo ni katika vyombo vya usalama nchini, ambavyo wanavimiliki.

Bila shaka yoyote, mashuhuda waliziona hizo gari za watekaji, Kwa kuwa tukio lenyewe lilifanyika mchana kweupe Kwa hiyo wapo baadhi ya mashuhuda walizikopi "number plate" za magari hayo, Kwa hiyo itakuwa kazi rahisi kufuatilia ni nani mmiliki wa gari hizo.

Hata hivyo Ili uchunguzi huo usivurugwe tunamuomba Rais Samia, achukue hatua ya dharula ya kuwafuta kazi mara moja, IGP Wambura na Kamanda wa Polisi wa Kanda maalum ya Dar, afande Muliro, kwa kuwa kuendelea kuwepo kazini kwa maafandec hao kutavuruga uchunguzi wa tukio Hilo baya kabisa, Kwa kuwa wao Police ni "main suspects" wa huo utekaji.

Mungu ibariki Tanzania
Mimi naviamini kwaaslimia mia mbili vyombo vyetu vya usalama, mnadhani hawajui kazi yao. Hapa Afrika hakuna vyombo makini vya ulinzi na usalama kama vyombo vya Tanzania, vina watu wenye ujuzi wa hali ya juu kupita kiasi.Kwahiyo viachwe wala visifanyiwe shikizo wakaamua wenyewe ni dakika sifuri tu.
 
Hilo tukio la kutekwa Kwa Mzee Kibao halikufanywa sirini, limefanywa mchana kweupe na hao watekaji Wala hawakuwa na hofu, kwa kuwa walimshusha toka Kwenye Bus la Tashriff, lililokuwa linaelekea Tanga, eneo la Tegeta Kibo complex.

Mashuhuda wa tukio Hilo la kutekwa Kwa Mzee Kibao na hatimaye kuteswa na kuuawa kinyama, walijitambulisha kama ni askari Polisi waliovaa kiraia.

Sasa kama kweli Jeshi letu la Polisi litakuwa "serious" kabla ya jioni ya leo, litakuwa limewakamata watu wote waliohusika na unyama wa hali ya juu wa kumteka Mzee wetu Kibao na baadaye kumpiga sana Hadi kumuua na kummwagia tindikali usoni Iii asitambulike.

- CHADEMA: Mzee Ally Kibao ametekwa na Vyombo vya Ulinzi na Usalama akiwa kwenye basi. Usalama wa Taifa waeleze alipo

Hao watekaji walikuwa na machine gun, pingu, vitu ambavyo ni katika vyombo vya usalama nchini, ambavyo wanavimiliki.

Bila shaka yoyote, mashuhuda waliziona hizo gari za watekaji, Kwa kuwa tukio lenyewe lilifanyika mchana kweupe Kwa hiyo wapo baadhi ya mashuhuda walizikopi "number plate" za magari hayo, Kwa hiyo itakuwa kazi rahisi kufuatilia ni nani mmiliki wa gari hizo.

Hata hivyo Ili uchunguzi huo usivurugwe tunamuomba Rais Samia, achukue hatua ya dharula ya kuwafuta kazi mara moja, IGP Wambura na Kamanda wa Polisi wa Kanda maalum ya Dar, afande Muliro, kwa kuwa kuendelea kuwepo kazini kwa maafandec hao kutavuruga uchunguzi wa tukio Hilo baya kabisa, Kwa kuwa wao Police ni "main suspects" wa huo utekaji.

Mungu ibariki Tanzania
Mwenye picha ya eneo la Kibo-Tegeta aipandishe hapa jukwaani tuone ambapo basi la Tashrif lilisimamishwa na abiria mmoja akashushwa kwa mtutu wa bunduki mchana kweupe wakatokemea naye kusikojulikana.

Kwa namna ya eneo la Kibo-Tegeta lilivyo haiwezekani kuna wakati huwa hakuna watu waliosimama au wanatembea mpaka usiku wa manane.

Pili eneo la sehemu alipotupwa abiria yule pale Ununio pako peupe hakutupwa upande wa pili ambao una miti ya miiba , bonde la msitu wa mikoko mkabala na majengo ya NSSF yaliyotelekezwa miaka kadhaa iliyopita. Sehemu aliyotupwa kuna ukuta na ndani ya ukuta kuna kibanda cha mlinzi wa eneo ambaye anajishughulisha na kilimo cha nyanya na anapanga nyanya kwa mauzo kuanzia saa moja asubuhi mpaka saa moja jioni.

Endapo kungekuwa na kutiliwa maanani malalamiko ya CDM mamlaka wangekuwa wameshapata ukweli kwamba abiria alipelekwa saa ngapi pale kando kando ya barabara ya Ununio (usiku wa manane).
Utu wa binadamu ni sharti uheshimiwe hata kama kuna tofauti za namna yoyote ile.
 
Back
Top Bottom