BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Jeshi la Polisi limesema limeshafanya Uchunguz wa kina dhidi ya Afisa wa Polisi anayetajwa kwa jina la 'Fatma Kigondo' ikiwa ni pamoja na kupata maelezo ya watu mbalimbali
Kwa mujibu wa taarifa ya Msemaji wa Jeshi la Polisi, David Misime, imeeleza kuwa Jeshi limeshachukua maelezo ya Afisa huyo na tayari jalada lake limepelekwa kwa Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP)
Afisa huyo wa Polisi amekuwa akitajwa kuhusika katika kuratibu na kuwezesha tukio la Ubakaji na Ulawiti lililofanywa na Watuhumiwa 5 dhidi ya 'Binti wa Yombo' ambapo tayari kesi yake ipo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma.
Soma Pia:' Afande' Fatma Kigondo anayedaiwa kusaidia Binti wa Yombo afanyiwe Ukatili wa Kingono afunguliwa Kesi ya Jinai
Kwa mujibu wa taarifa ya Msemaji wa Jeshi la Polisi, David Misime, imeeleza kuwa Jeshi limeshachukua maelezo ya Afisa huyo na tayari jalada lake limepelekwa kwa Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP)
Afisa huyo wa Polisi amekuwa akitajwa kuhusika katika kuratibu na kuwezesha tukio la Ubakaji na Ulawiti lililofanywa na Watuhumiwa 5 dhidi ya 'Binti wa Yombo' ambapo tayari kesi yake ipo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma.
Soma Pia:' Afande' Fatma Kigondo anayedaiwa kusaidia Binti wa Yombo afanyiwe Ukatili wa Kingono afunguliwa Kesi ya Jinai