Jeshi la Polisi limekamilisha Uchunguzi dhidi ya Fatma Kigondo, jalada liko kwa DPP

Jeshi la Polisi limekamilisha Uchunguzi dhidi ya Fatma Kigondo, jalada liko kwa DPP

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Jeshi la Polisi limesema limeshafanya Uchunguz wa kina dhidi ya Afisa wa Polisi anayetajwa kwa jina la 'Fatma Kigondo' ikiwa ni pamoja na kupata maelezo ya watu mbalimbali

Kwa mujibu wa taarifa ya Msemaji wa Jeshi la Polisi, David Misime, imeeleza kuwa Jeshi limeshachukua maelezo ya Afisa huyo na tayari jalada lake limepelekwa kwa Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP)

Afisa huyo wa Polisi amekuwa akitajwa kuhusika katika kuratibu na kuwezesha tukio la Ubakaji na Ulawiti lililofanywa na Watuhumiwa 5 dhidi ya 'Binti wa Yombo' ambapo tayari kesi yake ipo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma.

c7e69884-16eb-44d7-afbb-ee358762840d.jpeg

6042f434-a411-48cd-8771-7bcacc72f1e0.jpeg

c7997156-9563-46f9-8c44-d956f596ca0e.jpeg


Soma Pia:' Afande' Fatma Kigondo anayedaiwa kusaidia Binti wa Yombo afanyiwe Ukatili wa Kingono afunguliwa Kesi ya Jinai
 
Jeshi la Polisi limesema limeshafanya Uchunguz wa kina dhidi ya Afisa wa Polisi anayetajwa kwa jina la 'Fatma Kigondo' ikiwa ni pamoja na kupata maelezo ya watu mbalimbali

Kwa mujibu wa taarifa ya Msemaji wa Jeshi la Polisi, David Misime, imeeleza kuwa Jeshi limeshachukua maelezo ya Afisa huyo na tayari jalada lake limepelekwa kwa Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP)

Afisa huyo wa Polisi amekuwa akitajwa kuhusika katika kuratibu na kuwezesha tukio la Ubakaji na Ulawiti lililofanywa na Watuhumiwa 5 dhidi ya 'Binti wa Yombo' ambapo tayari kesi yake ipo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma.

Soma Pia:' Afande' Fatma Kigondo anayedaiwa kusaidia Binti wa Yombo afanyiwe Ukatili wa Kingono afunguliwa Kesi ya Jinai

View attachment 3077939
Nafikiri huu utakuwa ni 'upelelezi uchwala' wa kutaka kumsafisha 'mtu wa nyumbani kwao.' Sidhani kama utakuwa ni upelelezi wa kuaminika. Tangu lini meno ya mbwa yakaumana????
Rekodi zao za siku za nyuma zinawahukumu kuhusu suala hili.
 
Tuishukuru Jf,
No, ishu ilianzia X ama Twitter.

Ingeanzia huku ingefutwa haraka sana. Huku ukitoa tuhuma za mtu JF hawajiulizi mara 2, wanafuta haraka sana as long as unamtuhumu mtu.

Zamani huku mtu alikua akianzisha tuhuma ilikua inakua labelled as tetesi ili kujipa muda kidogo lakini sasa hivi ni futa, yaani futa.

Sasa ni rahisi kutoa tuhuma kwa mtu kule X kuliko JF. Elon Musk hana muda wa kufuta tweets za watu. Yeye kasema kila mtu ni mwandishi wa habari kama ana habari aitoe tu watu watakaoisoma ndio watachangia kama ni kweli ama uongo, kaweka community Notes za kukanusha uongo unaowekwa kule.
 
Jeshi la Polisi limesema limeshafanya Uchunguz wa kina dhidi ya Afisa wa Polisi anayetajwa kwa jina la 'Fatma Kigondo' ikiwa ni pamoja na kupata maelezo ya watu mbalimbali

Kwa mujibu wa taarifa ya Msemaji wa Jeshi la Polisi, David Misime, imeeleza kuwa Jeshi limeshachukua maelezo ya Afisa huyo na tayari jalada lake limepelekwa kwa Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP)

Afisa huyo wa Polisi amekuwa akitajwa kuhusika katika kuratibu na kuwezesha tukio la Ubakaji na Ulawiti lililofanywa na Watuhumiwa 5 dhidi ya 'Binti wa Yombo' ambapo tayari kesi yake ipo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma.

Soma Pia:' Afande' Fatma Kigondo anayedaiwa kusaidia Binti wa Yombo afanyiwe Ukatili wa Kingono afunguliwa Kesi ya Jinai

View attachment 3077939
Hadi sasa ameshashinda kese
 
Back
Top Bottom