Twilumba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 12,576
- 14,522
Kufadhiri genge la uhalifu..Hakuna kesi hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kufadhiri genge la uhalifu..Hakuna kesi hapo
Yaani wabakane wao halafu yeye awe mratibu. Ushahidi hapa ni mgumu sana labda kuwe na mawasiliano ya maandishi na sauti yaliyorekodiwa. Vinginevyo hii kesi haina mashiko kwa huyu mtuhumiwa.Jeshi la Polisi limesema limeshafanya Uchunguz wa kina dhidi ya Afisa wa Polisi anayetajwa kwa jina la 'Fatma Kigondo' ikiwa ni pamoja na kupata maelezo ya watu mbalimbali
Kwa mujibu wa taarifa ya Msemaji wa Jeshi la Polisi, David Misime, imeeleza kuwa Jeshi limeshachukua maelezo ya Afisa huyo na tayari jalada lake limepelekwa kwa Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP)
Afisa huyo wa Polisi amekuwa akitajwa kuhusika katika kuratibu na kuwezesha tukio la Ubakaji na Ulawiti lililofanywa na Watuhumiwa 5 dhidi ya 'Binti wa Yombo' ambapo tayari kesi yake ipo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma.
Soma Pia:' Afande' Fatma Kigondo anayedaiwa kusaidia Binti wa Yombo afanyiwe Ukatili wa Kingono afunguliwa Kesi ya Jinai
View attachment 3077939
Miamala ilisoma? Au alifadhili kwa namna gani? Yaweaza kuwa maawasiliano yao yakadhibitisha hiloKufadhiri genge la uhalifu..
Dk za mwisho,ile clip inaonesha analazimishwa amwombe msamaha afande.Wabakane wao na vifaa vyao halafu afande ahusike.
Kule twita wale jamaa daah,sio🙌🙌🙌No, ishu ilianzia X ama Twitter.
Wanaweza kumpeleka mahakamani. Ila kumfunga hawawezi.Yaani wabakane wao halafu yeye awe mratibu. Ushahidi hapa ni mgumu sana labda kuwe na mawasiliano ya maandishi na sauti yaliyorekodiwa. Vinginevyo hii kesi haina mashiko kwa huyu mtuhumiwa.
Wabakane wao na vifaa vyao halafu afande ahusike. Hata kama ni kweli aliratibu, wajipange sana kwa ushahidi
Siyo kwa moto huu na hasira tulizonazo wananchi. Kesi ipo ( Sasa hivi Serikali wako kwenye kikaango angalia Roliondo, wamesha salimu amri)Hakuna kesi hapo!
si rahisi, huyo ni mwenzao. sahauHatimae wameona waruke nae.
Ouk ouk!!Just wait, and you'll see the end result of this movie.
The time will tell.
Hapo sasa. Inawezekana adui zake wanataka kumharibia tu. Kulazimishwa kumtaja sio ushahidi usiotia shaka.Dk za mwisho,ile clip inaonesha analazimishwa amwombe msamaha afande.
Kabla hawajaliamsha Kule twita,Kila kitu walishakijua,swala lingine linaloleta sintofahamu,mume WA huyo mtuhumiwa alishafariki 2021.
Ni ngumu kwakweli. Ngoja tuoneWanaweza kumpeleka mahakamani. Ila kumfunga hawawezi.
Labda, Jamhuri iombe mitandao ya simu ipekue mawasiliano yake kama walitumana kwa njia ya simu.
Japo kua bado ni ngumu, since shahidi wa kwanza anakua ni yule nyundo ambao hata madai yao kubaka washaanza kuyakataa.
Hivyo, Jamhuri itakua na kibarua kizito sana kudeal na huyu mama