Jeshi la Polisi limekamilisha Uchunguzi dhidi ya Fatma Kigondo, jalada liko kwa DPP

Yaani wabakane wao halafu yeye awe mratibu. Ushahidi hapa ni mgumu sana labda kuwe na mawasiliano ya maandishi na sauti yaliyorekodiwa. Vinginevyo hii kesi haina mashiko kwa huyu mtuhumiwa.

Wabakane wao na vifaa vyao halafu afande ahusike. Hata kama ni kweli aliratibu, wajipange sana kwa ushahidi
 
Kesi ya ngedere kuchunguzwa na ngedere! Tutegemee nini?
 
Wabakane wao na vifaa vyao halafu afande ahusike.
Dk za mwisho,ile clip inaonesha analazimishwa amwombe msamaha afande.
Kabla hawajaliamsha Kule twita,Kila kitu walishakijua,swala lingine linaloleta sintofahamu,mume WA huyo mtuhumiwa alishafariki 2021.
 
Wanaweza kumpeleka mahakamani. Ila kumfunga hawawezi.

Labda, Jamhuri iombe mitandao ya simu ipekue mawasiliano yake kama walitumana kwa njia ya simu.

Japo kua bado ni ngumu, since shahidi wa kwanza anakua ni yule nyundo ambao hata madai yao kubaka washaanza kuyakataa.

Hivyo, Jamhuri itakua na kibarua kizito sana kudeal na huyu mama
 
Tutaishia kuandika kulaumu bila kuchukua hatua. Wakimsafisha pelekeni kesi kwenye mahakama za kutetea haki za binadamu internationally. Msisumbuke na ku appeal.
 
Dk za mwisho,ile clip inaonesha analazimishwa amwombe msamaha afande.
Kabla hawajaliamsha Kule twita,Kila kitu walishakijua,swala lingine linaloleta sintofahamu,mume WA huyo mtuhumiwa alishafariki 2021.
Hapo sasa. Inawezekana adui zake wanataka kumharibia tu. Kulazimishwa kumtaja sio ushahidi usiotia shaka.

Na hilo sasa la mume kuwa hayupo duniani kama ni kweli.
 
Ni ngumu kwakweli. Ngoja tuone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…