Jeshi la Polisi Mbeya: Tunachunguza kutoweka kwa Shadrack Chaula, aliye na taarifa za mahali alipo atutaarifu

Jeshi la Polisi Mbeya: Tunachunguza kutoweka kwa Shadrack Chaula, aliye na taarifa za mahali alipo atutaarifu

Wild Flower

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2023
Posts
378
Reaction score
766
Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari iliyotolewa jana Agosti 8,2024, Kamanda Kugaza amekiri kuwepo kwa tukio la kutoweka kwa kijana Shadrack huku akiomba wananchi kutoa ushiriano.

Jeshi la Polisi limesema kuwa lilipokea taarifa na kwa sasa wako katika uchunguzi kujua watu waliomchukua na kuomba wananchi kutoa ushirikiano ili aweze kupatikana.

Shadrack hapo awali alihukumiwa kulipa faini ya Sh5 milioni au kifungo cha miaka miwili jela baada ya kukiri kosa la kuchoma picha ya Rais ila kifungo hicho baada ya wananchi kuchanga na kulipa faini hiyo kisha kufanikiwa kumtoa katika Gereza la Ruanda Mkoa lililoko mkoani Mbeya.

Jeshi la Polisi.jpg


- Baba Chaula: Polisi niambieni mwanangu kama yu hai tu basi inatosha, nahisi roho yangu inashindwa kuvumilia haya maumivu
- Aliyehukumiwa kwenda jela miaka 2 kwa kuchoma picha ya Rais amechukuliwa na watu wasiyojulika, mpaka sasa hajulikani alipo
 
ROSTAM AZIZI ROSTAM AZIZI ROSTAM AZIZI ROSTAM AZIZI ROSTAM AZIZI ROSTAM AZIZI
Bedui nyuma ya uovu wote kichwa cha joka....mbeba ajenda ya Raia feki...pumzi yake ni damu ya tanzania.
 
I Ikumbukwe kuwa hakuna Jeshi la usalama wa raia na mali zao ila Kuna jeshi la kulinda uovu na kutesa raia ila ipo siku tu hebu rejea dada wa dovya sativa chaula nae mtatesa raia hadi lini mbona tunatishiana Amani kwenye nchi yetu sote au Kuna watu nchi ni yao wameinunua
 
ROSTAM AZIZI ROSTAM AZIZI ROSTAM AZIZI ROSTAM AZIZI ROSTAM AZIZI ROSTAM AZIZI
Bedui nyuma ya uovu wote kichwa cha joka....mbeba ajenda ya Raia feki...pumzi yake ni damu ya tanzania.
🤔 Kiongozi mbona sijaelewa hapo!!
 
Daah wacha niangalie marudio ya gemu ya watani maana manjagu siwaelewi kabisa..
 
Tatzo ni katba yetu imekaa vbaya, mfano hapa kila kitu kipo wazi!! Lkn sasa nan atamfunga paka kengele??? Ikiwa wote wateule wa rais,,,,! Tofaut na wenzetu Kenya wao wananguvu raia kuliko mkuu wa nchi, hapa kwetu n zaid ya kila kitu yupo juuu anafanya lolote kwa yeyote
 
Tatzo ni katba yetu imekaa vbaya, mfano hapa kila kitu kipo wazi!! Lkn sasa nan atamfunga paka kengele??? Ikiwa wote wateule wa rais,,,,! Tofaut na wenzetu Kenya wao wananguvu raia kuliko mkuu wa nchi, hapa kwetu n zaid ya kila kitu yupo juuu anafanya lolote kwa yeyote
Absolutely true.

Kwenye nchi yoyote ile yenye Utawala wenye Itikadi ya Ukomunisti au Ujamaa, Wananchi wote waliopo kwenye nchi husika wanahesabika kama ni "Mateka wa Mwenyekiti."
 
Kiutani utani ndo missing forever hapo.
Dunia si sehemu salama tena
 
Back
Top Bottom