Wild Flower
JF-Expert Member
- Jul 20, 2023
- 378
- 766
Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari iliyotolewa jana Agosti 8,2024, Kamanda Kugaza amekiri kuwepo kwa tukio la kutoweka kwa kijana Shadrack huku akiomba wananchi kutoa ushiriano.
Jeshi la Polisi limesema kuwa lilipokea taarifa na kwa sasa wako katika uchunguzi kujua watu waliomchukua na kuomba wananchi kutoa ushirikiano ili aweze kupatikana.
Shadrack hapo awali alihukumiwa kulipa faini ya Sh5 milioni au kifungo cha miaka miwili jela baada ya kukiri kosa la kuchoma picha ya Rais ila kifungo hicho baada ya wananchi kuchanga na kulipa faini hiyo kisha kufanikiwa kumtoa katika Gereza la Ruanda Mkoa lililoko mkoani Mbeya.
- Baba Chaula: Polisi niambieni mwanangu kama yu hai tu basi inatosha, nahisi roho yangu inashindwa kuvumilia haya maumivu
- Aliyehukumiwa kwenda jela miaka 2 kwa kuchoma picha ya Rais amechukuliwa na watu wasiyojulika, mpaka sasa hajulikani alipo
Jeshi la Polisi limesema kuwa lilipokea taarifa na kwa sasa wako katika uchunguzi kujua watu waliomchukua na kuomba wananchi kutoa ushirikiano ili aweze kupatikana.
Shadrack hapo awali alihukumiwa kulipa faini ya Sh5 milioni au kifungo cha miaka miwili jela baada ya kukiri kosa la kuchoma picha ya Rais ila kifungo hicho baada ya wananchi kuchanga na kulipa faini hiyo kisha kufanikiwa kumtoa katika Gereza la Ruanda Mkoa lililoko mkoani Mbeya.
- Baba Chaula: Polisi niambieni mwanangu kama yu hai tu basi inatosha, nahisi roho yangu inashindwa kuvumilia haya maumivu
- Aliyehukumiwa kwenda jela miaka 2 kwa kuchoma picha ya Rais amechukuliwa na watu wasiyojulika, mpaka sasa hajulikani alipo