HUYU kijana ANAE semekana ametekwa na wasio JULIKANA aliichora picha yeye mwenyewe kwa pencil yake , na kwa kutenga muda wake.
Alivyoichora halikuwa kosa na aliichora akiwa na matumaini yakuwa iko siku picha ile itamfikia Mh Rais ili walau impatie kipato picha limekaa weeee hakuna lolote na maisha yakazidi kumtandika na huku kwenye mitandao anaona Rais anatetea ununuzi wa gari za kifahari kwa ajili ya watumishi AMBAO wengi wao ni wabadhilifu wa fedha za Umma
Pasipo kujali muda alio upoteza kalamu,na akili kubwa anaamua kuichoma moto kazi ya mikono yake mwenyewe je kosa lake ni lipi?
Je kosa kuchoma picha ya Rais TU au hata akichoma yangu LINAKUWA ni kosa?