Jeshi la Polisi Mjitathmini. Tendeni Haki

Jeshi la Polisi Mjitathmini. Tendeni Haki

Mwingereza

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2014
Posts
1,115
Reaction score
2,771
Katika kesi inayoendelea ya ugaidi ya wakina Mbowe, mashaidi wengi wamekuwa ni police wakiongozwa na Kingai, Mahita, Goodluck, na Jumanne.

Cha ajabu uwezo wao waliouonesha kizimbani ni mdogo sana. Hawa watu ni watupu. Zaidi wamejivua nguo na wanazidi kujivua nguo hadharani.

Walichoweza , ni kuvunja rekodi ya Dunia kwa kumleta Shahidi MKOJOZI namba moja duniani akiwa kizimbani, na pia kumleta shahidi wa kwanza kuwatetea washtakiwa.

Kwa kifupi, hii kesi Inajenga chuki kubwa sana dhidi ya polisi kwa matendo yao ya uonevu ya waziwazi yanayodhiirika wakiwa kizimbani. Polisi wabadilike, tunaishi nao
 
Walichoweza , ni kuvunja rekodi ya Dunia kwa kumleta Shahidi MKOJOZI namba moja duniani akiwa kizimbani, na pia kumleta shahidi wakwanza kuwatetea washtkiwa.
emoji23.png
 
usiyoyajua ni bora kuyakalia kimya,
mie ninaimani sana na jjeshi la polisi na ka halijatenda haki basi mahakama itatenda haki
Sidhani kama tunasababu za kujenga chuki kwa ukweli ama uongo tusioujua?
Hii dunia inamambo mengi sana laiti tungeweza funuliwa hasa kwa wale tunaowaamini ama tusiowaamini tungejifunza jambo kubwa sana.
 
Hatuna Polisi Tanzania, bali tuna genge la majambazi na wahuni, wanaotumia ofisi za umma kutekeleza uovu wao.

Hawa akina Kingai ni waovu kuwazidi vibaka wa mitaani, lakini wamejificha kwenye sare za Polisi.
 
usiyoyajua ni bora kuyakalia kimya,
mie ninaimani sana na jjeshi la polisi na ka halijatenda haki basi mahakama itatenda haki
Sidhani kama tunasababu za kujenga chuki kwa ukweli ama uongo tusioujua?
Hii dunia inamambo mengi sana laiti tungeweza funuliwa hasa kwa wale tunaowaamini ama tusiowaamini tungejifunza jambo kubwa sana.
Hamna kitu hapa. Sana sana dingi wako au mother wako atakuwa Njagu tu!
 
Hatuna Polisi Tanzania, bali tuna genge la majambazi na wahuni, wanaotumia ofisi za umma kutekeleza uovu wao.

Hawa akina Kingai ni waovu kuwazidi vibaka wa mitaani, lakini wamejificha kwenye sare za Polisi.
Binadamu tumejaa unafiki sana, hao hao unaowatusi ndo ukiibiwa hapa pini au ukijikwaa unaenda kulia kwao, tupunguze unafiki.
nichukie kisa nimekwambia ukweli
 
Katika kesi inayoendelea ya ugaidi ya wakina Mbowe, mashaidi wengi wamekuwa ni police wakiongozwa na Kingai, Mahita, Goodluck, na Jumanne.

Cha ajabu uwezo wao waliouonyesha kizimbani ni mdogo sana. Hawa watu ni watupu. Zaidi wamejivua nguo na wanazidi kujivua nguo hadharani.

Walichoweza , ni kuvunja rekodi ya Dunia kwa kumleta Shahidi MKOJOZI namba moja duniani akiwa kizimbani, na pia kumleta shahidi wakwanza kuwatetea washtakiwa.

Kwa kifupi, hii kesi Inajenga chuki kubwa sana dhidi ya polisi kwa matendo yao ya uonevu ya waziwazi yanayodhiirika wakiwa kizimbani. Polisi wabadilike, tunaishi nao
Usituchanganye polisi wote labda hao ndio wale watu wasiojulikana ndani ya nchi wenye zana za kila aina,tupo polisi katu hatumuonei mtu na wengine tunaowakamata huwasamehe huku huku mitaani bila ya kufikishana mbali tena bila kuchukua nduaro aka senti tano,tupo polisi watenda wema wengi tu.
Kawaida polisi tunatakiwa tuwe wema kwa raia,hao wangine huwa wanakengeuka ni tabia yao au tamaa au ubabe wanasahau iko siku wataishi uraiani.
 
Katika kesi inayoendelea ya ugaidi ya wakina Mbowe, mashaidi wengi wamekuwa ni police wakiongozwa na Kingai, Mahita, Goodluck, na Jumanne.

Cha ajabu uwezo wao waliouonesha kizimbani ni mdogo sana. Hawa watu ni watupu. Zaidi wamejivua nguo na wanazidi kujivua nguo hadharani.

Walichoweza , ni kuvunja rekodi ya Dunia kwa kumleta Shahidi MKOJOZI namba moja duniani akiwa kizimbani, na pia kumleta shahidi wa kwanza kuwatetea washtakiwa.

Kwa kifupi, hii kesi Inajenga chuki kubwa sana dhidi ya polisi kwa matendo yao ya uonevu ya waziwazi yanayodhiirika wakiwa kizimbani. Polisi wabadilike, tunaishi nao

Sio kikojozi tu bali alikuwa na kinote book chooni
 
hao ni tawi la ccm.
Katika kesi inayoendelea ya ugaidi ya wakina Mbowe, mashaidi wengi wamekuwa ni police wakiongozwa na Kingai, Mahita, Goodluck, na Jumanne.

Cha ajabu uwezo wao waliouonesha kizimbani ni mdogo sana. Hawa watu ni watupu. Zaidi wamejivua nguo na wanazidi kujivua nguo hadharani.

Walichoweza , ni kuvunja rekodi ya Dunia kwa kumleta Shahidi MKOJOZI namba moja duniani akiwa kizimbani, na pia kumleta shahidi wa kwanza kuwatetea washtakiwa.

Kwa kifupi, hii kesi Inajenga chuki kubwa sana dhidi ya polisi kwa matendo yao ya uonevu ya waziwazi yanayodhiirika wakiwa kizimbani. Polisi wabadilike, tunaishi nao
 
Back
Top Bottom