Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga limesema linamshikilia kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), mkoani humo Swahibu Juma Mwanyoka kutokana na tuhuma zilizoripotiwa.
Katika taarifa iliyotolewa na kuthibitishwa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Almachius Mchunguzi leo Jumatano Machi 12,2025 imeeleza kuwa uchunguzi unaendelea ili hatua stahiki zichukuliwe kwa mujibu wa sheria.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
"Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga linathibitisha kukamatwa kwa Swahibu Juma Mwanyoka kwa tuhuma zilizoripotiwa, uchunguzi unaendelea ili hatua stahiki zichukuliwe kwa mujibu wa sheria,"imeeleza taarifa hiyo ya Kamanda Mchunguzi.
Katika taarifa iliyotolewa na kuthibitishwa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Almachius Mchunguzi leo Jumatano Machi 12,2025 imeeleza kuwa uchunguzi unaendelea ili hatua stahiki zichukuliwe kwa mujibu wa sheria.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
"Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga linathibitisha kukamatwa kwa Swahibu Juma Mwanyoka kwa tuhuma zilizoripotiwa, uchunguzi unaendelea ili hatua stahiki zichukuliwe kwa mujibu wa sheria,"imeeleza taarifa hiyo ya Kamanda Mchunguzi.