Jeshi la Polisi na Serikali kwa ujumla imepoteza weledi na imani kwa wananchi

Jeshi la Polisi na Serikali kwa ujumla imepoteza weledi na imani kwa wananchi

sanalii

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
1,639
Reaction score
5,767
Kwa jinsi wanavyoshughulikia mambo na kuyapa uzito usio sawa, hii ni aibu na inatia mashaka sana.
kwa mfano, jinsi wanavyoliendesha suala la binti aliebakwa, je kama ingekua hakuna ushahidi hali ingekuaje?

Pia soma: Polisi: Wanaotuhumiwa kubaka na kulawiti ni kama wavuta bangi, hawakutumwa na Afande, yule dada alikuwa kama anajiuza

1. Kwanini wanaotuhumiwa wote wasitajwe?
2. Kwanini suala linachukua muda mrefu wakati liko wazi?
3. Kwanini suala hili limekua na "Kananchi wawe na subira na utulivu" Kwanini zimekua nyingi?

Kwa sasa kama binti bado yuko mikononi mwa polisi, ningekua familia ya binti, ningemchukua ndugu yangu, nisingetaka kusikia kingine kutoka kwa jeshi la polisi, zaidi wanajikoshatu.
 
Kwa jinsi wanavyoshughulikia mambo na kuyapa usito usio sawa, hii ni aibu na inatia mashaka sana.
kwa mfano,
jinsi wanavyoliendesha suala la binti aliebakwa, je kama ingekua hakuna ushahidi hali ingekuaje?
1. kwanini wanaotuhumiwa wote wasitaje?
2. kwanini suala linachukua muda mrefu wakati liko wazi?
3. kwanini suala hili limekua na "mananchi wawe na subira na utulivu" kwanini zimekua nyingi ?

kwa sasa kama binti bado yuko mikononi mwa polisi, ningekua familia ya binti, ningemchukua ndugu yangu, nisingetaka kusikia kingine kutoka kwa jeshi la polisi, zaidi wanajikoshatu,
Kuna shida sehemu siyo bure yani kama kuna handbrake inapigwa ili wahusika fulani wasiguswe
 
Kuna mambo makubwa yanatokea nchini af watu wako busy na Kizimkazi festival. ujinga mtupu
 
hii kesi ngumu sana waliobaka wanapata easy win wataadhiniwa kwa kosa la ksambaza video chafu tu
 
Pia si vyema watu kusema “ raisi ni mwanamke, waziri mwanamke na RPC ni mwanamke ila haki haitendeki”
haki itendeke kwa kufata sheria na si jinsia
 
Hatufahamu ni mangapi yako yanafichwa kama hili la wazi kiasi hiki wanaficha na kuona watu wajinga
 
Kwa jinsi wanavyoshughulikia mambo na kuyapa uzito usio sawa, hii ni aibu na inatia mashaka sana.
kwa mfano, jinsi wanavyoliendesha suala la binti aliebakwa, je kama ingekua hakuna ushahidi hali ingekuaje?

Pia soma: Polisi: Wanaotuhumiwa kubaka na kulawiti ni kama wavuta bangi, hawakutumwa na Afande, yule dada alikuwa kama anajiuza

1. Kwanini wanaotuhumiwa wote wasitajwe?
2. Kwanini suala linachukua muda mrefu wakati liko wazi?
3. Kwanini suala hili limekua na "Kananchi wawe na subira na utulivu" Kwanini zimekua nyingi?

Kwa sasa kama binti bado yuko mikononi mwa polisi, ningekua familia ya binti, ningemchukua ndugu yangu, nisingetaka kusikia kingine kutoka kwa jeshi la polisi, zaidi wanajikoshatu.

Sorry mkuu, huyu binti yuko mikononi kwa polisi kwa kosa gani?
 
Sorry mkuu, huyu binti yuko mikononi kwa polisi kwa kosa gani?
Walitoa taarifa baada ya watu kuzusha amefariki kua”binti yuko mikono salama na anapatiwa huduma za kumfanya awe sawa kwa yaliotokea”
Hayuko mtaani
 
Kwa jinsi wanavyoshughulikia mambo na kuyapa uzito usio sawa, hii ni aibu na inatia mashaka sana.
kwa mfano, jinsi wanavyoliendesha suala la binti aliebakwa, je kama ingekua hakuna ushahidi hali ingekuaje?

Pia soma: Polisi: Wanaotuhumiwa kubaka na kulawiti ni kama wavuta bangi, hawakutumwa na Afande, yule dada alikuwa kama anajiuza

1. Kwanini wanaotuhumiwa wote wasitajwe?
2. Kwanini suala linachukua muda mrefu wakati liko wazi?
3. Kwanini suala hili limekua na "Kananchi wawe na subira na utulivu" Kwanini zimekua nyingi?

Kwa sasa kama binti bado yuko mikononi mwa polisi, ningekua familia ya binti, ningemchukua ndugu yangu, nisingetaka kusikia kingine kutoka kwa jeshi la polisi, zaidi wanajikoshatu.
Kwangu mimi shida kua na taarifa tofauti,waziri Gwajima alijibu vzr sana,msemaji alijibu vzr tu,RPC dodoma ndio alieharibu afadhali angejibu km msemaji wao,kingine hawawezi wataja washukiwa km uchunguzi bado hii inawalinda walioharibu na aliefanyiwa ukatili plus wanaotafuta ukweli.
 
Kuna shida sehemu siyo bure yani kama kuna handbrake inapigwa ili wahusika fulani wasiguswe
Mbaya zaidi kila mkuu wa nchi kaziba masikio,
Ni kiburi cha hali ya juu sana
 
Kwangu mimi shida kua na taarifa tofauti,waziri Gwajima alijibu vzr sana,msemaji alijibu vzr tu,RPC dodoma ndio alieharibu afadhali angejibu km msemaji wao,kingine hawawezi wataja washukiwa km uchunguzi bado hii inawalinda walioharibu na aliefanyiwa ukatili plus wanaotafuta ukweli.
Lakini kuna uwezekano mkubwa kua alichosema RPC ndio kipp kwenye jalada la uchunguzi wao,

We wadhan kwanini wafikishwe mahakaman nusu wakati wengine hawajapatikana?

Video inaonesha dada anaambiwa “omba msamaha afande na hutarudia kutembea na mume wa mtu”

Leo hii RPC anasema uchunguzi unaonesha hawajatumwa,
Vijana waliokua wanamhoji walikua na akili tumamu na hawajaonesha kulewa pombe, kwanini jeshi la polisi linaona watu wajinga kiasi hiki?
 
Lakini kuna uwezekano mkubwa kua alichosema RPC ndio kipp kwenye jalada la uchunguzi wao,

We wadhan kwanini wafikishwe mahakaman nusu wakati wengine hawajapatikana?

Video inaonesha dada anaambiwa “omba msamaha afande na hutarudia kutembea na mume wa mtu”

Leo hii RPC anasema uchunguzi unaonesha hawajatumwa,
Vijana waliokua wanamhoji walikua na akili tumamu na hawajaonesha kulewa pombe, kwanini jeshi la polisi linaona watu wajinga kiasi hiki?
KWa kauli hii kuna kila dalili hichi ndicho kilichoandikwa kwenye file na hivyo ushahidi kuharibiwa
 
Haki itendeke ushahidi upo wazi kabisa kwa nn jambo wanalifumbafumba ivyo kuna kitu gani wanataka wafiche kwakweli jeshi letu la polisi wajitafakari kwa kina mana wanapoteza imani kwa wananchi
 
Walitoa taarifa baada ya watu kuzusha amefariki kua”binti yuko mikono salama na anapatiwa huduma za kumfanya awe sawa kwa yaliotokea”
Hayuko mtaani
Hii ilikuwa mbinu nzuri ya kutaka ku control asije kuongea na waandishi wa habari. Ndio maana unaona sasa wanakuja wazi na kubadiri story.
 
Lakini kuna uwezekano mkubwa kua alichosema RPC ndio kipp kwenye jalada la uchunguzi wao,

We wadhan kwanini wafikishwe mahakaman nusu wakati wengine hawajapatikana?

Video inaonesha dada anaambiwa “omba msamaha afande na hutarudia kutembea na mume wa mtu”

Leo hii RPC anasema uchunguzi unaonesha hawajatumwa,
Vijana waliokua wanamhoji walikua na akili tumamu na hawajaonesha kulewa pombe, kwanini jeshi la polisi linaona watu wajinga kiasi hiki?

Mkuu iko wazi, kuna askari mwenzao wanajaribu kwa nguvu zote kumlinda. Wanaona yule binti ni maskini na malaya tu, so alichofanyiwa ni haki yake. Ndio kwakifupi alichoongea huyo RPC.
 
Back
Top Bottom