Damaso
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 3,978
- 6,739
Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango ametoa wito kwa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi na Jeshi la Magereza kuchukua hatua zinazowezekana kwa kutumia rasiliamli zilizopo, kuondoa dhana ya kudhalilisha utu na kukiuka haki za binadamu kwa wafungwa.
View: https://youtu.be/u-0S0jmUsuQ?si=lWVDbgKVZmI5KlP6
Amesema hayo wakati akifungua Mkutano wa Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Magereza unaofanyika Makao Makuu ya Jeshi hilo, Msalato mkoani Dodoma ambapo amesema ni muhimu kupunguza na hata kuondokana kabisa na matumizi ya ndoo magerezani kama choo.
Labda kwa kuwa umezungumza wewe Mheshimiwa Mpango, Makamu wa Rais, basi Wizara husika na Jeshi la Polisi watakusikiliza. Tusubirie utekelezaji wake.
View: https://youtu.be/u-0S0jmUsuQ?si=lWVDbgKVZmI5KlP6
Amesema hayo wakati akifungua Mkutano wa Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Magereza unaofanyika Makao Makuu ya Jeshi hilo, Msalato mkoani Dodoma ambapo amesema ni muhimu kupunguza na hata kuondokana kabisa na matumizi ya ndoo magerezani kama choo.
Labda kwa kuwa umezungumza wewe Mheshimiwa Mpango, Makamu wa Rais, basi Wizara husika na Jeshi la Polisi watakusikiliza. Tusubirie utekelezaji wake.