Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,599
- 9,532
Kuna hizi taarifa kuwa maafisa wa usalama kutoka nchini Kenya wamenaswa huko visiwani Zanzibar kwa madai walikuwa wanamfuatilia Raila Odinga ambaye inasemekana yupo huko kwa siri...
Mwenye uthibitisho wa taarifa zaidi anaweza kutupatia..
===========================================
UPDATES
Tanzania yakanusha kuwakamata usalama wa taifa wa Kenya
Mwenye uthibitisho wa taarifa zaidi anaweza kutupatia..
===========================================
UPDATES
Tanzania yakanusha kuwakamata usalama wa taifa wa Kenya