Tetesi: Jeshi la Polisi Tanzania linawashikilia Maafisa wa Usalama kutoka Kenya

Tetesi: Jeshi la Polisi Tanzania linawashikilia Maafisa wa Usalama kutoka Kenya

Ujasusi wa aina gani?

Kama ni ujasusi wa kuifatilia nchi husika, then hapo nakubaliana nawe.

Lakini kama ni Ujasusi wa kumfatilia mtu(kwa kufuata utaratibu) anayeonekana kuwa tishio kwa nchi nyingine, hapo hakuna baya.
Kufanya upelelezi wowote kwenye nchi ya kigeni ni kosa kubwa sana haijarishi unamfuatilia mwananchi wa nchi yako au la pia kitu cha kujiuliza wameingia nchini Tz kufanyakazi ya kipelelezi au la? Itaonyesha kwenye pass zao za kuingia nchini kama wame declare kumpeleleza Raila bila hivyo imekula kwao nchi zingine wanapotea kabisa!!
 
Propaganda za watu wa NASA hizo,

yaani watu 6 wa intelligence unawakamataje kama mbuzi,?

Wale wanakuwa na deepcover agents already inside ,kila ubalozi wa nchi huwa una kitengo cha intelligence,hawawezi kutuma mtu moja kwa moja toka nairobi badala ya kutumia watu wao walioko huku,
unless labda ilikuwa ni killteam,
kitu ambacho hakiwezekani kwani uhuru hana hiyo akili ya kummaliza odinga.
So kama ni surveillance tu ya kutaka kujua anakutana na nani na anafanya nini,hawawezi tuma lundo la watu tena directly kutoka nai
 
Hakuna kifo kibaya kama ukikamatwa ukifanya Ujasusi nchi nyingine haijalisha uliingia vipi.
Kama una kinga ya kidiplomasia,unaachiwa,unarudishwa kwenu,
Kama haukuwa na kinga,risasi za wasiojurikana,lazima zikutwange
 
Raila akifanyiwa ubaya kama kweli yuko huko zenji implications yake itakuwaje? Taswira ya nchi yetu itaonekanaje Kenya na ulimwenguni kwa ujumla?

Wanaahirikiana ku trail wahalifu eg magaidi, drug dealers, human traffickers... Ila sio kwa design hii ya Raila.

Security ina nyanja pana! Hasa hizi za kuhusisha siasa za kimataifa! Unaweza kutupiwa zigo la lawama hivi hivi!

..Tundu Lissu kacharangwa risasi mchana kweupe, tena katikati ya nchi ambako ni salama zaidi, na taswira ya nchi imeendelea kuwa nzuri Kenya na ulimwenguni kwa ujumla.

..Binafsi sioni faida ya kuthamini usalama wa Raila Odinga kuliko wa wananchi na walipa kodi wa Tz.
 
Kama una kinga ya kidiplomasia,unaachiwa,unarudishwa kwenu,
Kama haukuwa na kinga,risasi za wasiojurikana,lazima zikutwange
sio lazima wakuuwe,
unaweza kufungwa,ama kuachiwa kwa makubaliano maalumu na nchi husika,
wale watanzania waliokamatwa malawi kwa kusingiziwa ujasusi mbona waliachiwa kiulaini baada ya msoto wa miezi
 
..Tundu Lissu kacharangwa risasi mchana kweupe, tena katikati ya nchi ambako ni salama zaidi, na taswira ya nchi imeendelea kuwa nzuri Kenya na ulimwenguni kwa ujumla.
Ni jambo baya sana lile kwa kweli.

Hapa naongelea tensions kati ya nchi na nchi. Issue ya mh. Lisu ni internal. Ni raia wa hapa sio mgeni. Japo nayo imechafua taswira ya nchi yetu.

Ila kwa diplomat mkubwa hadhi hiyo kutoka nchi ngeni kufanyiwa ubaya ni kuzua mtafaruku baina ya nchi na nchi.
 
Wakatwe vidole na kung'olewa meno kama Dr. Shika 900 itapendeza.
 
kama ni majasusi na wamekuja kufanya ujasusi katika nchi yetu,hakuna njia washughulikiwe kijasusi kwa usalama wa taifa.
mfano,kama kweli Raila angedhurika kijasusi katika taifa hili basi sisi ndio tungebeb mzigo wa gharama hiyo.
TISS tunawaamini,kama ni kweli FANYENI KAZI YENU,Katika ishu za kijasusi ndani ya nchi hebu tuacheni SIASA SA KIJINGA,TISS washughulikieni hao jamaa kwa ajili ya nchi.
 
Ujasusi wa aina gani?

Kama ni ujasusi wa kuifatilia nchi husika, then hapo nakubaliana nawe.

Lakini kama ni Ujasusi wa kumfatilia mtu(kwa kufuata utaratibu) anayeonekana kuwa tishio kwa nchi nyingine, hapo hakuna baya.
Suppose majausi wa Tanzania wanamfuatilia mpinzani wa serikali ya Tanzania kule Kenya wangekamatwa wangeachiwa tu waendelee na ujasusi wao au wangeachiwa waondoke zao tu?

Mambo mengine kama huyajui ni bora kunyamaza.
 
Safi sana Magufuli na Siro... Wakikuyu wa.jing sana wanataka kumuuwa Raila
 
Raila naye si aludi kwao kwa nini kutaka kutukosanisha na ndugu zetu.
 
Back
Top Bottom