Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una maana gani?Kama nikweli hiI itakuwa vyema
I don't know what you're talking about!..lakini serekali ya Kenya would rather have Raila dead.
..kwa hiyo akifia huku Tanzania serekali ya Kenya watapumua.
Kuna hizi taarifa kuwa maafisa wa usalama kutoka nchini Kenya wamenaswa huko visiwani Zanzibar kwa madai walikuwa wanamfuatilia Raila Odinga ambaye inasemekana yupo huko kwa siri...
Mwenye uthibitisho wa taarifa zaidi anaweza kutupatia..
View attachment 635615
Una maana Zanzibar Mko na Jeshi ka pekee yenu?Wazanzibar tupo Makini kuliko Wabara
Hehehe mtu na mwl wake. Sijui nani anamjua zaidi mwenzake Mwalimu au mwanafunzi?Naweza nikawa zuzu, ila wewe ndiye Mwalimu wangu katika uzuzu.
Kwanza kajifunze jinsi ya kuandika ndipo uje kuni-quote.
Jifunze kuandika kisha uje useme juu ya maswala haya.
Punguani Waheed.
Kama umefuata utaratibu kwanini wakamatwe? Hii ina maana unafanyq ujasusi hapa nchini. Ipo adhabuUjasusi wa aina gani?
Kama ni ujasusi wa kuifatilia nchi husika, then hapo nakubaliana nawe.
Lakini kama ni Ujasusi wa kumfatilia mtu(kwa kufuata utaratibu) anayeonekana kuwa tishio kwa nchi nyingine, hapo hakuna baya.
Iliwapasa watoe maarifa kwa mamlaka wapewe kibali. Siyo hovyo hovyo tu.Ujasusi wa aina gani?
Kama ni ujasusi wa kuifatilia nchi husika, then hapo nakubaliana nawe.
Lakini kama ni Ujasusi wa kumfatilia mtu(kwa kufuata utaratibu) anayeonekana kuwa tishio kwa nchi nyingine, hapo hakuna baya.
Mkuu tusiojua mambo ya usalama tunasomag tuHuu uzi kila mwana usalama ana lake sasa sijui nishike ipi niache ipi
Kachangia nini wakati kauliza swali?Sio lazima uchangie, wewe soma post za wenzio utaelimika!!
Unaruhusiwa ila askari wana taratibu zao za clearance za kusafiri .Nchi husika hutakiwa kutaarifiwa kiofisi kuwa kuna askari anaingia kwao nk Kila askari kusafiri lazima katika masharti mmojawapo hutakiwa kuwa na kitu kinaitwa movement order ambayo huwa lazima aionyeshe mamlaka husika
Yaani michango ya watu wengine ni kinyaa hata kuisoma.Unaonekana wewe ni zuzu wa kiwango cha hali ya juu sana alaf haya mambo ya security kama hujui kaa kimya tu nyie ndio wale mnaochangia kila kitu
Sawa kama hilo lipo kwa nini hawa wakamatwe?Hujui kuwa taasisi za Kijasusi za nchi moja na nyingine, huweza kushirikiana katika baadhi ya mambo?
Na usijekuta Raila akipata tatizo akiwa nchini wa kwanza kalaumu ni haohao serikali ya Kenya.Raila akifanyiwa ubaya kama kweli yuko huko zenji implications yake itakuwaje? Taswira ya nchi yetu itaonekanaje Kenya na ulimwenguni kwa ujumla?
Wanaahirikiana ku trail wahalifu eg magaidi, drug dealers, human traffickers... Ila sio kwa design hii ya Raila.
Security ina nyanja pana! Hasa hizi za kuhusisha siasa za kimataifa! Unaweza kutupiwa zigo la lawama hivi hivi!
Kwani hao deep covers agents toka ndani ya balozi huwa wanagundulika sometimes ndio maana hata nchi inaweza kumtimua afisa wa ubalozi, balozi mwenyewe au hata kuufunga ubalozi endapo Itabainika unajihusisha na shughuri za kajasusi.Propaganda za watu wa NASA hizo,
yaani watu 6 wa intelligence unawakamataje kama mbuzi,?
Wale wanakuwa na deepcover agents already inside ,kila ubalozi wa nchi huwa una kitengo cha intelligence,hawawezi kutuma mtu moja kwa moja toka nairobi badala ya kutumia watu wao walioko huku,
unless labda ilikuwa ni killteam,
kitu ambacho hakiwezekani kwani uhuru hana hiyo akili ya kummaliza odinga.
So kama ni surveillance tu ya kutaka kujua anakutana na nani na anafanya nini,hawawezi tuma lundo la watu tena directly kutoka nai
Mixed grill...Tundu Lissu kacharangwa risasi mchana kweupe, tena katikati ya nchi ambako ni salama zaidi, na taswira ya nchi imeendelea kuwa nzuri Kenya na ulimwenguni kwa ujumla.
..Binafsi sioni faida ya kuthamini usalama wa Raila Odinga kuliko wa wananchi na walipa kodi wa Tz.
Tatizo wengi hawajui tofauti ya utendaji ktk duru za kiusalama wa kidiplomasia baina ya mataifa kati ya upelelezi wa kihalifu kupitia vyombo kama Interpol nk na hiki tunachojadili hapa yaani ujasusi.Mkuu umepotoka.
Hilo jambo haliruhusiwi popote duniani,tuna mkataba na kenya wa kubadilishana watuhumiwa,hatuwezi kukubali nchi yetu kufanywa kuwa ni kichaka cha ujasusi,Raila amekuja kwa ziara binafsi,atalipa hoteli yeye na wasaidizi wake kwa nini watuharibie biashara zetu?
Tumeanza Kukamata Vifaranga tukapiga Moto VyoteKuna hizi taarifa kuwa maafisa wa usalama kutoka nchini Kenya wamenaswa huko visiwani Zanzibar kwa madai walikuwa wanamfuatilia Raila Odinga ambaye inasemekana yupo huko kwa siri...
Mwenye uthibitisho wa taarifa zaidi anaweza kutupatia..
View attachment 635615
Ujasusi siyo Interpol!Hujui kuwa taasisi za Kijasusi za nchi moja na nyingine, huweza kushirikiana katika baadhi ya mambo?