Jeshi la Polisi: Tumemkamata Boniface Jacob kwa makosa ya Jinai anayotuhumiwa nayo

Jeshi la Polisi: Tumemkamata Boniface Jacob kwa makosa ya Jinai anayotuhumiwa nayo

Heparin

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2021
Posts
242
Reaction score
1,141
1000138374.jpg

Jeshi la Polisi limemkamata na linamshikilia Boniface Jacob mkazi wa Mbezi kwa Msakuzi Jijini Dar es Salaam kutokana na makosa ya kijinai anayotuhumiwa nayo.

Hivyo, wananchi wapuuze uwongo unaosambazwa mitandaoni kuwa ametekwa.

Imetolewa na:
David A. Misime - DCP Msemaji wa Jeshi la Polisi Makao Makuu ya Polisi
Dodoma, Tanzania.

Pia soma: Boniface Jacob adaiwa kukamatwa na watu waliokuja na gari aina ya defender. Kamanda Kitwinkwi asema hana taarifa hizo
 
Jeshi la Polisi linamshikilia Boniface Jacob kutokana na makosa ya kijanai anayotuhumiwa nayo.

#NidhamuHakiWeledinaUadilifuMsingiwaMafanikioYetu
 

Attachments

  • 20240918_184140.jpg
    20240918_184140.jpg
    181.4 KB · Views: 3
  • 20240918_184348.jpg
    20240918_184348.jpg
    32 KB · Views: 2
View attachment 3099730
Jeshi la Polisi limemkamata na lina mshikilia Boniface Jacob mkazi wa Mbezi kwa Msakuzi Jijini Dar es Salaam kutokana na makosa ya kijinai anayotuhumiwa nayo.

Hivyo, wananchi wapuuze uwongo unaosambazwa mitandaoni kuwa ametekwa.

Imetolewa na:
David A. Misime - DCP Msemaji wa Jeshi la Polisi Makao Makuu ya Polisi
Dodoma, Tanzania.

Pia soma: Boniface Jacob adaiwa kukamatwa na watu waliokuja na gari aina ya defender. Kamanda Kitwinkwi asema hana taarifa hizo
WANATAKA KUJIVUA UHUSIKA WA UTEKAJI KWA MBINU YA KUWAKAMATA SASA NA KUSEMA TUMEWAKAMATA!
 
Anywei hatuwez mtete huyo bwana Bony maana polisi ndo wenye dhamana na mambo kama hayo.Lkn naona wananch kuwaelewa jesh la polis ktk hili inahtaj utulvu mkubwa maana mambo yamekuw meng.Ni vema Polis wajihadhar dhidi uhai wake wasije tia doa sura yao kama chombo cha usalama kwa wananchi.Ukzngatia matukio kadhaa ambayo yametokea hiv karbuni.
 
Back
Top Bottom