Jeshi la Polisi: Tumemkamata Boniface Jacob kwa makosa ya Jinai anayotuhumiwa nayo

Jeshi la Polisi: Tumemkamata Boniface Jacob kwa makosa ya Jinai anayotuhumiwa nayo

Ukamataji wa kishamba, walitakiwa kumpatia wito afike Polisi kisha taratibu zingine zifuate.

Kumvamia mtu njiani kama vile ni jambazi sugu hatari muuaji aliyekuwa anakwepa mitego ya polisi mara kadhaa kumkamata kwa staili hii ni njia isiyo sahihi.

Wakili msomi Hekima Mwasipu asimulia jambo zima lilivyotokea, taharuki mtaani iliyoendana na kurupushani kubwa ... kituo Oysterbay kwa RCO wataelejea Msakuzi makaazi ya Bonuface Jacob kufanya upekuzi ...


View: https://m.youtube.com/watch?v=TPyNi-GCCpA

Leo mnakosa la kufanya nyie ,mlisema wanateka hawasemi wamesema mnataka wamuite

USSR
 
Hii Ni Baada Ya Rais Kusema Mjitambulishe Msikamate Watu Tu Kama Kule Mwanza
 
Aisee kumbe alikuwa anamakosa ya jinai.? Kwaiyo hapo hakuna hata kumtoa kwa dhamana.?
Unaelewa Maana ya jinai,jinai nyingi zina shamana kasoro chache kama uhujumu uchumi,mauaji na ugaidi
 
Urushe ngumi si ndo unawapa sababu ya kukuchakaza kwamba unemshambulia afisa wa usalama....kuna maisha ukishayachagua basi kubali na consequences zake pia....Big ni mmoja wa watu waliokuwa na kauli ngumu sana....wacha tuone makosa anayotuhumiwa nayo
Bado mdude,maranya masese
 
View attachment 3099730
Jeshi la Polisi limemkamata na lina mshikilia Boniface Jacob mkazi wa Mbezi kwa Msakuzi Jijini Dar es Salaam kutokana na makosa ya kijinai anayotuhumiwa nayo.

Hivyo, wananchi wapuuze uwongo unaosambazwa mitandaoni kuwa ametekwa.

Imetolewa na:
David A. Misime - DCP Msemaji wa Jeshi la Polisi Makao Makuu ya Polisi
Dodoma, Tanzania.

Pia soma: Boniface Jacob adaiwa kukamatwa na watu waliokuja na gari aina ya defender. Kamanda Kitwinkwi asema hana taarifa hizo
Atashikiliwa mok Sept 23 ipite
 
NATABIRI

Ataachiwa tarehe 25 baada ya maandamano kuisha.

Next? MMM
Hili suala asubuhi nilikuwa namwambia mtu mmoja , kati ya strategy watakazotumia policcm kuelekea siku ya maandamano ni kukamata viongozi au wale watu maarufu kwenye chama na kweli imekuwa hivyo.

Naona watamfuata na Martin soon.
 
Back
Top Bottom