Slaah ameyataka mwenyewe,ukitoa hoja katika vyombo vya habari, kuwa hogo ya ya mabilioni yametolewa na fulani kwenda kwa fulani,ili kuhujumu uchaguzi wa chama fulani.Mzee Slaa ni mnafiki sana. Huu ni umri wa yeye kucheza na wajukuu. Siasa za Tanzania siyo SIZE yake
Saf. Huu ndiyo utawala wa sheria. Aeleze polisi zile tuhuma zake kwa ushahidi ili Jeshi letu la Polisi lichukue hatua. Tunataka ushahidi🙏🙏🙏Saa chache baada ya kutolewa taarifa ya kukamatwa kwa mwanasiasa mkongwe, Dk Willibrod Slaa, Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limethibitisha kumshikilia kwa mahojiano.
Taarifa ya kukamatwa kwa Dk Slaa imesambaa kupitia mitandao ya kijamii, ikisikika sauti ya mwanasiasa huyo akizungumza kuhusu kukamatwa na Jeshi la Polisi akieleza anapelekwa kituo cha Mbweni, Dar es Salaam.
“Nawajulisha tu kwamba kuna polisi wamenifuata, nitawajulisha kitakachotokea. Napelekwa Mbweni kituoni,” alisikika Dk Slaa katika sauti inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii.
Zaidi soma Dkt. Slaa akamatwa usiku huu nyumbani kwake Mbweni
Alipozungumza na Kituo cha Redio cha Wasafi FM leo Januari 10, 2025 Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amethibitisha kukamatwa na kushikiliwa Dk Slaa kwa mahojiano.
“Ni sahihi daktari yupo, tuko naye na tumekuwa na mahojiano naye kwa baadhi ya mambo na mahojiano yetu yanakwenda vizuri kwa hiyo tunaangalia mifumo ya kisheria inatuelekeza nini cha kufanya naamini taarifa zaidi zitatolewa baadaye,” amesema.
Pia soma - Balozi Dkt. Wilbroad Slaa afichua siri mpya ya mikakati ya Mbowe kushinda uenyekiti. Apewa mapesa zaidi na Rais Samia na M/kiti CCM kummaliza Lissu..
Takataka hiyo imanunulika kama bidhaa tu. Slaa hana jipya zaidi ya njaa. Na asahau kabisa kuoata uteuzi tena kwa Serikali ya awamu ya 6.Usimtishe.
Huyo bazazi kachukua mke wa mtu Mshumbushi kaenda naye Canada. Uchawa wake ulipoisha na Magufuli alipokufa na mkataba wa ubalozi ulipokoma, mwanamke kakataa kurudi Tanzania.Tàtizo àkili yako inafikiri kila mtu mzee àmezaliwa kucheza na wajukuu. Hayo ni ya ukoo wenu acha Dr. Slaa acheze na haki za raia siyo acheze na wajukuu.
Wewe mwenyewe low brain ndyo maana hunielewiCrap from low brain.
Kwaiyo uyo mzee ndio kajitolea kwenye haki!! Uyu mzee sio uyu alifukuzwa kwenye upadri kwa visa vya mbunye bado aikutosha akaja kubuluzwa tena mahakamani ya kiraia kwa kuchukua mke wa mtu na kuishi naye kama mkewe!!!!au sio DK Slaa uyu. Nikisema DK wa mbunye nitakosea ndugu zangu.!!Tàtizo àkili yako inafikiri kila mtu mzee àmezaliwa kucheza na wajukuu. Hayo ni ya ukoo wenu acha Dr. Slaa acheze na haki za raia siyo acheze na wajukuu.
Tatizo la Serikali linakamata mtu halafu halichukuwi hatua thabiti ya kumshtaki na kuhakikisha Sheria kweli inachukua mkondo. Mwisho wa siku kesi inafutwa au anashinda kesi. Inatakiwa mtu kama Dk. Slaa makosa yake yathibitishwe na AFUNGWE ikiwezekana ili kupunguza uropokaji!Saa chache baada ya kutolewa taarifa ya kukamatwa kwa mwanasiasa mkongwe, Dk Willibrod Slaa, Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limethibitisha kumshikilia kwa mahojiano.
Taarifa ya kukamatwa kwa Dk Slaa imesambaa kupitia mitandao ya kijamii, ikisikika sauti ya mwanasiasa huyo akizungumza kuhusu kukamatwa na Jeshi la Polisi akieleza anapelekwa kituo cha Mbweni, Dar es Salaam.
“Nawajulisha tu kwamba kuna polisi wamenifuata, nitawajulisha kitakachotokea. Napelekwa Mbweni kituoni,” alisikika Dk Slaa katika sauti inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii.
Zaidi soma Dkt. Slaa akamatwa usiku huu nyumbani kwake Mbweni
Alipozungumza na Kituo cha Redio cha Wasafi FM leo Januari 10, 2025 Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amethibitisha kukamatwa na kushikiliwa Dk Slaa kwa mahojiano.
“Ni sahihi daktari yupo, tuko naye na tumekuwa na mahojiano naye kwa baadhi ya mambo na mahojiano yetu yanakwenda vizuri kwa hiyo tunaangalia mifumo ya kisheria inatuelekeza nini cha kufanya naamini taarifa zaidi zitatolewa baadaye,” amesema.
Pia soma - Balozi Dkt. Wilbroad Slaa afichua siri mpya ya mikakati ya Mbowe kushinda uenyekiti. Apewa mapesa zaidi na Rais Samia na M/kiti CCM kummaliza Lissu..
Huyu jamaa ana Intelligence Quotient ya chini sana, nimesoma comment zake nyingi sanaCrap from low brain.
Inawesekana wakati Tanganyika inapata Uhuru ilikuwa na maendeleo kuliko sasa!Nchi ina sanaa nyingi sana kwa mazingira haya hata mkiweka dira ya maendeleo ya miaka 1000 mbele mtaendelea kuwa hivi hivi hakuna kitu cha maendeleo mnakipa kipaumbele kwenu zaidi ya mambo ya kijinga jinga tu yaliyowadumaza Ubongo..
Wasalimie huko jamaicaSipo Tanzania mkuu, asante kwa taarifa
Nikahisi ni mimi pekee sijaelewa🙆♂️🙆♂️🙆♂️Mnamkamata mtu bila kujua ni Sheria gani amevunja
Nilisha rudi Burundi kwa maekelezo ya mh wazri..🤣Wasalimie huko jamaica
Uki muona sultan ibn mbowe king'ang'anizi, mpe Salam zangu🤣Nilisha rudi Burundi kwa maekelezo ya mh wazri..🤣
Div IV ya point 32 atajifunza nini?Kwa nini wasijipange kwanza ndio wamkamate?
Na je, walimuita kwa njia ya kawaida akakaidi kwenda?.
Jamani polisi badilikeni.
si huwa mnaenda nchi za wenzenu kujifunza?
Huwa mnajifunza kweli?Au kuharibu fedha zetu.
Nyumbu wa Sultan Mbowe wamefurahi sanaBila shaka Ile michadema uchwara itakuwa inashangilia
Ishu ya Ben mbona Kabendera ameshamaliza Dhalim ndiye alifanya finishing.ikulu gani?
muulizeni m/kiti wenu wa kudumu mboye
kawafanya nini kina saanane
sio kusingizia wasiohusika