Pre GE2025 Jeshi la Polisi: Tumemkamata Dkt. Slaa, tunamhoji na kuangalia mifumo ya Sheria inatuelekeza nini cha kufanya

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Inawesekana wakati Tanganyika inapata Uhuru ilikuwa na maendeleo kuliko sasa!
Miaka nasoma ya 90 viwanda vya nguo vilikuwepo na bus zao wafanyakazi walikua wanapanda bure watu walikua walikua wanaoneka wana nuru na akili zipo kichwani sio sasa hivi ni ujinga ujinga tu ndio umewajaa yaani tuanze kusikiriza sijui mfanyakazi wao wamemkata usiku na kutoa maelekezo asubuhi..
 
Bwa shee tuonyeshe mshikamano wetu timu Lissu kukamwekee dhamana mwenzetu. Tupo katikati ya mpambano.
Dr Slaa ni Boss wa Freeman kama ulikuwa haujui 😂😂

20% vs 80%

Sidhani kama utaelewa hapo Machame 🐼
 
Aisee! amelamba Billion 12?
Tetesi toka Twitter zinasema mwamba kalambishwa asali ya 12B+ na Dr Slaa alilisemea hilo suala kwe Clubhouse ya Twitter anasema kapewa Taarifa na watu wa system.


Ila 12B sio pesa ya kitoto 🤣
 
Unamkamata ndio unaangalia vifungu vya sheria? Si ilitakiwa aambiwe kosa lake wakati ana kamatwa?

Amandla...
 
Hii heading inatia kinyaa..!! Kwamba mpaka anakamatwa hawajajua cha kufanya?
 
Kibabu roporopo hicho kifungeni tuu hata kwakosa lakuiba mke wamtu...
 
Nchi ina sanaa nyingi sana kwa mazingira haya hata mkiweka dira ya maendeleo ya miaka 1000 mbele mtaendelea kuwa hivi hivi hakuna kitu cha maendeleo mnakipa kipaumbele kwenu zaidi ya mambo ya kijinga jinga tu yaliyowadumaza Ubongo..
Nimeipenda hii expert
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…