Pre GE2025 Jeshi la Polisi: Tumepata taarifa CHADEMA wanapanga Maandamano na Kuvamia Vituo vya Polisi Dar kwa wakati mmoja

Pre GE2025 Jeshi la Polisi: Tumepata taarifa CHADEMA wanapanga Maandamano na Kuvamia Vituo vya Polisi Dar kwa wakati mmoja

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Erythrocyte nashauri mwenyekiti atolee tamko kuhusu ujinga huu. Hii ni kuwapaka mavi chadema. Msinyamaze lipiet . Ni mbinu za kuiangamiza chadema. Kitakachofuata ni kuifuta na msajiri
Hivi vitisho vya kuifuta chadema umenikumbusha enzi ya msajili wa vyama vya siasa Bwana John tendwa na kauli zake

Huku magazeti yakimnukuu kwa vichwa vya habari vya
"Tendwa sasa aandaa kalamu nyekundu...ni kuhusu chadema"
 
Polisi waache vitisho kwa wananchi...kwani kuwatisha hivyo ndio kunaamsha hasira kali na kupelekea kuvamia vituo hivo ambavyo vingi askari wake wana afya mbovu kutokana mshahara kiduchu unaotokana na utawala wa ccm
 
Polisi wenyewe sasa !
IMG-20240826-WA0002.jpg
 
Hizi ndiyo siasa za Tanzania alizotuachia Mtakatifu wenu Nyerere yaani watu wapo kimajungu tu, lakini ipo siku wanayoyaombea watayapata
 
Polisi waache vitisho kwa wananchi...kwani kuwatisha hivyo ndio kunaamsha hasira kali na kupelekea kuvamia vituo hivo ambavyo vingi askari wake wana afya mbovu kutokana mshahara kiduchu unaotokana na utawala wa ccm
 

Attachments

  • VID-20240830-WA0027.mp4
    5.6 MB
Polisi hali sio shwari
 

Attachments

  • IMG-20240830-WA0025.jpg
    IMG-20240830-WA0025.jpg
    404.8 KB · Views: 1
TAARIFA KWA UMMA

Agosti 28, 2024 Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam ilitoa maamuzi yakekuhusiana na_ shauri lililowasilishwa mbele yake ambapo miongoni mwamaamuzi iliyotoa ni pamoja na kutoa amri kwa Jeshi la Polisi kufanya upelelezikujua mahali walipo Viongozi wa Baraza la Vijana la CHADEMA (BAVICHA),Wilaya ya Temeke, (Deusdedit Soka na wenzake wawili) Jeshi la Polisi lilipokeaamri hiyo na kuongeza nguvu katika upelelezi ambao lilishaanza toka awalibaada ya kuripotiwa kupotea kwa viongozi hao.

Baada ya maamuzi hayo ya Mahakama Kuu, Jeshi la Polisi limepata taarifa zauhakika za Viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)kufanya kikao kwa njia ya kielekroniki (zoom) na kukubaliana kwa vilehawajaridhika na maamuzi hayo ya mahakama kwa sababu hayakuakisimalengo yao, wafanye yafuatayo;
i) Waanze kuhamasisha wafuasi wao chinichini kufanya maandamano yakuelekea maeneo mbalimbali zikiwepo ofisi mbalimbali.
ii)Wahamasishe na kuunda vikundi vya vijana wapatao 20 wavamie vituo vyaPolisi vilivyopo Jijini Dar es Salaam kwa wakati mmoja.

Jeshi la Polisi linatoa onyo kali kwa yeyote atakaye endelea kuratibu,kuhamasisha na kushiriki katika uhalifu huo wakupangwa ambao lengo lake nikutaka kuvuruga amani ya nchi yetu baada ya kushindwa kwa mikakati yaoatashughulikiwa ipasavyo kwa mujibu wa sheria za nchi.

Jeshi la Polisi lingependa kusisitiza atakaye fika kituo chochote cha Polisi kwania ovu tumejiandaa na atashughulikiwa ipasavyo kwa mujibu wa sheria.Imetolewa na😀avid A. Misime - DCPMsemaji wa Jeshi la PolisiMakao Makuu ya PolisiDodoma, Tanzania.
View attachment 3082616
 

Attachments

  • VID-20240830-WA0032.mp4
    11.4 MB
hili kweli jeshi kutoka form four failures
sasa wateke vituo vya polisi ili waibe hela au jamani yani mnao hadi ushahidi wa zoomcall na bado hamjawakamata mbona mnazembea tunawalipa kusimamia sheria au kupiga mikwara.
 
Shujaa Magufuli wa Kanisa Moja Takatifu la Mitume 😄
Ccm ni dini mungu wake alikuwa MAGUFULI leo ccm inaongozwa na malkia ujinga ni ule ule unaendelea wa kuteka na kupoteza ambaye mwasisi wake ni Magufuli wa chato
 
TAARIFA KWA UMMA

Agosti 28, 2024 Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam ilitoa maamuzi yakekuhusiana na_ shauri lililowasilishwa mbele yake ambapo miongoni mwamaamuzi iliyotoa ni pamoja na kutoa amri kwa Jeshi la Polisi kufanya upelelezi kujua mahali walipo Viongozi wa Baraza la Vijana la CHADEMA (BAVICHA),Wilaya ya Temeke, (Deusdedit Soka na wenzake wawili) Jeshi la Polisi lilipokeaamri hiyo na kuongeza nguvu katika upelelezi ambao lilishaanza toka awalibaada ya kuripotiwa kupotea kwa viongozi hao.

Baada ya maamuzi hayo ya Mahakama Kuu, Jeshi la Polisi limepata taarifa zauhakika za Viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)kufanya kikao kwa njia ya kielekroniki (zoom) na kukubaliana kwa vilehawajaridhika na maamuzi hayo ya mahakama kwa sababu hayakuakisimalengo yao, wafanye yafuatayo;
i) Waanze kuhamasisha wafuasi wao chinichini kufanya maandamano yakuelekea maeneo mbalimbali zikiwepo ofisi mbalimbali.
ii)Wahamasishe na kuunda vikundi vya vijana wapatao 20 wavamie vituo vyaPolisi vilivyopo Jijini Dar es Salaam kwa wakati mmoja.

Jeshi la Polisi linatoa onyo kali kwa yeyote atakaye endelea kuratibu,kuhamasisha na kushiriki katika uhalifu huo wakupangwa ambao lengo lake nikutaka kuvuruga amani ya nchi yetu baada ya kushindwa kwa mikakati yaoatashughulikiwa ipasavyo kwa mujibu wa sheria za nchi.

Jeshi la Polisi lingependa kusisitiza atakaye fika kituo chochote cha Polisi kwania ovu tumejiandaa na atashughulikiwa ipasavyo kwa mujibu wa sheria.Imetolewa na😀avid A. Misime - DCPMsemaji wa Jeshi la PolisiMakao Makuu ya PolisiDodoma, Tanzania.
View attachment 3082616
Wakati utafika hata hao walioshika mipini wataachia siraha zao na kukimbia let's wait
 
Back
Top Bottom