Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Hahahaha nilivyomuona kwenye ile clip anamsifia binti yake kuwa ni mzuri nikajua hapa kuna shida kwa huyu MzeeNaona amekwenda Zanzibar kuchochea vurugu Badala ya kuleta Amani, Huyu IGP ana kasoro nyingi sana....imagine anafika kule neno lake la Kwanza ni kwamba nimekuja kuwaambia "nitawagonga", huyu ni mzima au ana mental disorder flan hatuielewi?
Nadhani Huyu IGP pia ndo aliyeanzisha kitu kinachoitwa Jeshi la Akiba ambacho kimesambaratishwa na Lissu jana, Naomba Mamlaka zimwondoe Sirro Unguja na Pemba haraka ataleta maafa!
Yan chenga tupu, sijui ni pombe zile!Hahahaha nilivyomuona kwenye ile clip anamsifia binti yake kuwa ni mzuri nikajua hapa kuna shida kwa huyu Mzee
Safi kabisa kwao Polisi...washenzi wenye nia ya kujaribu mamlaka (dola) wakawadhibitiJeshi la PolisI Zanzibar limefanya mazoezi ya kupambana na waandamanaji.
Tanzania bila vibaraka wa mataifa ya urabuni na magharibi inawezekanaTanzania bila CCM inawezekana
Uzuri tunawajua polifisiem, utayari wao ni kukimbia kimbia hovyo barabarani kukwamisha harakati za watumiaji wengine wa barabara.Mbinu hii ya kishamba haiwezi kumtisha yeyote kwa sasa
Anzisha tu vurugu ndo utajuaMbinu hii ya kishamba haiwezi kumtisha yeyote kwa sasa
Naona dawa imekuingia vyemaTanzania bila vibaraka wa mataifa ya urabuni na magharibi inawezekana
Wataumia kweli, waendelee tu kujitoa ufahamuWapinzani acheni fujo mtaumia. Msicheze na serikali
ICC itaanza na weweSafi kabisa kwao Polisi...washenzi wenye nia ya kujaribu mamlaka (dola) wakawadhibiti
Mfanya fujo anabembelezwa!?!...ni wakugongwa vilivyoNaona Sirro amekwenda Zanzibar kuchochea vurugu Badala ya kuleta Amani, Huyu IGP ana kasoro nyingi sana....imagine anafika kule neno lake la Kwanza ni kwamba nimekuja kuwaambia "nitawagonga", huyu ni mzima au ana mental disorder flan hatuielewi?
Nadhani Huyu IGP pia ndo aliyeanzisha kitu kinachoitwa Jeshi la Akiba ambacho kimesambaratishwa na Lissu jana, Naomba Mamlaka zimwondoe Sirro Unguja na Pemba haraka ataleta maafa!
Maandamano yatakuwepo kama kawaida.Jeshi la PolisI Zanzibar limefanya mazoezi ya kupambana na waandamanaji.
Hiyo inakuja siku chache baada ya Maalim Seif kuapa kuwa safari hii hakuna atakayekubali kuchakachuliwa kwenye matokeo ya kura.
Naona ngoma imeanza kulindima kila sehemu.
Tanzania bila CCM inawezekana.
The world is watching how you try hard to bring chaosCCM inaangamia kwa viongozi wake kukosa maarifa!
Ya 2001 yanaweza kujirudia, na safari hii yanaweza kuwa worse, but they should know that, the world is watching.
Bara nako ni swala la muda tu maana walioenguliwa mpaka sasa hatima yao haijulikana.
Mkuu samahani kama ntakuwa nimekukwaza,hivi kwenye hii serikali ya awamu ya tano una kacheo gani mkuu,maana so kwa roho mbaya uliyonayo.Safi kabisa wapuuzi wote watakiona
Kama kawa tu safari hii hainaga kufeliMaandamano yatakuwepo kama kawaida.