Jeshi la Rwanda lashambuliwa na FARDC

Mtu anavutwa taratibu kwenye target.... Taratiiiiibuuu..... Yaani PK akijichanganya TU atajua kwanini muwa sio tunda lakini unatengeneza juisi..
Kanajiona sana. Kwenye hivi vimito na kenyewe kana jeshi la majini πŸ€£πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ Banglaadeeshiiiiiii
Mama Samia hebu tufurahishe Mama. Tuma Makomando wetu waoperate through Jeshi la DRC.

I want to see the end of this game.
 
Safi kabisa πŸ‘
Pk huu mwaka 2025 ndio atajua Maana ya Vita Watu Washamchoka Watakimbia awa m23 Utasikia tumeona tutoe muda au Nafasi ya mazungumzo!!!! kwasasa akuna mazungumzo tena!! mkutano wa Dar ndio wa mwisho kwake sasa kazi kipimo cha utu,, ninajamaa yangu anasema huu mwaka tutanfraisha PK adi acheke sanaaaa!!!

UGANdA kaanza kunywea omemwambia mwenzie mimi Simo!!! Umeuwa kaburu 14 Utalipia Vibaya sana jamaa Wameamua kutunza Heshima yao EST Africa. TUJIANDAE kupokea Wakimbizi w kitusi awana pakwenda zaid ya Tanzania ..
 
mm nasubiria nijichagulie pisi yangu.
 
Mavi
 
Iyo no wakimbilie uganda sasa sio Tz washaona chaka lao mwisho tuna wapa nafasi kama kina bashiru
 
Kwani lazima tulingane na US? Hivi unajua US ni muunganiko wa nchi 42?
 
FARDC wanachezea moto, Jeshi shupavu la Rwanda wakijibu mapigo makubwa endelevu wasikimbilie SADC, EAC, AU au UN
 
Kwani lazima tulingane na US? Hivi unajua US ni muunganiko wa nchi 42?
Nilijua US ni muunganiko wa states 50 kumbe ni 42? Thanks. Sikusema ni lazima tulingane na US anyway.
 
Rwanda haijazungukwa wala kupakana na bahari yoyote
 
Tanzania imeshajifia tangu kumalizika awamu ya 4
Kwani lazima tulingane na US? Hivi unajua US ni muunganiko wa nchi 42?
50
 
Huko Rwanda kuna makabila mangapi mpaka useme πŸ‡ΉπŸ‡Ώ itapokea wakimbizi wa watusi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…