Jeshi la Rwanda lashambuliwa na FARDC

Jeshi la Rwanda lashambuliwa na FARDC

Inasemekana baadhi ya miili ya hao askari iliungua vibaya na kusambaratika kiasi cha kutoonekana kabisa kama binadamu.

Inaumiza sana kwa vifo ambavyo si vya lazima kwa vijana askari wa Kirwanda.
Aise inasikitisha sana mkuu
 
Pk huu mwaka 2025 ndio atajua Maana ya Vita Watu Washamchoka Watakimbia awa m23 Utasikia tumeona tutoe muda au Nafasi ya mazungumzo!!!! kwasasa akuna mazungumzo tena!! mkutano wa Dar ndio wa mwisho kwake sasa kazi kipimo cha utu,, ninajamaa yangu anasema huu mwaka tutanfraisha PK adi acheke sanaaaa!!!

UGANdA kaanza kunywea omemwambia mwenzie mimi Simo!!! Umeuwa kaburu 14 Utalipia Vibaya sana jamaa Wameamua kutunza Heshima yao EST Africa. TUJIANDAE kupokea Wakimbizi w kitusi awana pakwenda zaid ya Tanzania ..
Wachafu sana hao waende Sudan huko
 
Tatizo wakipiga kidogo wanaenda kucheza sebene.
Sa hizi kichapo kinaendelea huko Bukavu hamna jeshi raia ndo kwanza wanaunga mkono waasi.
 
Back
Top Bottom