M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
Nimesoma communique ya Joint Summit (EAC-SADC) majeshi ambayo hayajaalikwa Congo yanapaswa kurudi kwao. Je mojawapo NI Jeshi la Rwanda? Shame on you PK
Soma: Kagame awatuhumu SADC na Ramaphosa kuwaunga mkono Congo. Mwenyekiti wa Kamati ya Usalama SADC ni Rais Samia!
Soma: Kagame awatuhumu SADC na Ramaphosa kuwaunga mkono Congo. Mwenyekiti wa Kamati ya Usalama SADC ni Rais Samia!