MBOKA NA NGAI
JF-Expert Member
- Jan 31, 2025
- 350
- 576
Kinaenda kunuka huko Bunia. Jeshi la Uganda, leo limeingia nchini DRC, kukabiliana na vikundi vya wapiganaji wanaotumia siraha, wanaotekeleza mauaji ya Wahima kutoka Uganda. Huko pia ikumbukwe, ndo kuna kundi la waasi wa Uganda wajulikanao kama ADF.
Haya, ngoja tuone DRC mwakani itakuwaje.
Hapo hapo, Goma, M23 imeshaanzisha Police na imeanza kufanya kazi.
Haya, ngoja tuone DRC mwakani itakuwaje.
Hapo hapo, Goma, M23 imeshaanzisha Police na imeanza kufanya kazi.