Jeshi la Uhamiaji limeumbuka kiutendaji, CDF-JWTZ ameeleza wazi waliyoshindwa kueleza

Jeshi la Uhamiaji limeumbuka kiutendaji, CDF-JWTZ ameeleza wazi waliyoshindwa kueleza

View attachment 2880164
General JJ Mkunda.

View attachment 2880166
Commissioner General Immigration Anna Makakala.




Jeshi la Wananchi Tanzania kupitia Mkuu wa Jeshi JWTZ, has again done us proud.

Mkuu wa Jeshi, CDF General Jacob John Mkunda amelezea tishio la usalama wa nchi kutoka angle ambayo kuna jeshi lingine lipo kwa ajili hiyo pekee, Jeshi la Uhamiaji.

Je ni kwamba Jeshi la Uhamiaji halijui tishio hilo la Ulinzi na Usalama kwa nchi, na kutoliweka hilo hadharani?

General Mkunda si tu amelezea kuwepo tatizo la wakimbizi wengi nchini waliokaa muda mrefu bila kurudishwa kwao, lakini kaweka wazi kuwa wamefanya utafiti kuwa kuna wakimbizi waliokaa nchini kwa muda mrefu kiasi kwamba watoto wao au wao wenyewe wameanza kupata vyeo vya kimaamuzi ndani ya serikali na taasisi za umma.

Tunamshukuru Gen JJ Mkunda kwa kuiona the bigger picture(Vision) ya kiusalama, vision mbayo Idara ya Immigration imeshindwa kuiona.

Hii natisha

Ulinzi ni pamoja na kuondoa threat ya the 5th Column, adui aliyepandikizwa from within.
Serikali isiposhughulikia hili kwa haraka itajilaumu yenyewe within 5 to 10 years.

Vile vile Jeshi la Uhamiaji lifumuliwe kwa kuota vitambi na kutofanya kazi iwapasayo.
Hata TISS nao wamechemsha vetting yao ni bure kabisa
 
Binafsi sina imani na mwanamke!! Wanawake woote hawana maamuzi binafsi............

.
Siyo wanawake wote, bali walio wengi.

Wanawake kama Margret Thatcher, Merkel na Indira Ghandi walikuwa viongozi wenye misimamo hasa.
 
Yule bwana jina lake nimelisahau lakini anatokea Arusha na alikuwa kibosile hapo uhamiaji yupo wapi siku hizi..??,
Atafutwe arudishwe kazini. nadhani ni Mrangi kabila lake.
 
Hata TISS nao wamechemsha vetting yao ni bure kabisa
TISS ya siku hizi ni takataka. Wamejaa wapigaji tu wanaowatishia watu ili wawape pesa. Hao wanaofanya vetting nao ni walaji wa rushwa wakubwa.

Yule aliyekuwa Waziri wa madini, kila kukitokea fununu za uwezekano wa Baraza la mawaziri kubadilishwa alikuwa anagawa kati ya 5m na 10m kwa kila mmoja ili wajaze sifa za kumpamba kwa mama. Na hiyo njia imefanya kazi maana leo kapewa mpaka cheo ambacho hakipo kwenye katiba.
 
Kwani wakimbizi NI WA Kongo warundi na wanyaruanda mbona hamsemi wasomali wakenya msumbuji Malawi na zambia
 
Usikute nae anajihami Tanzania hatuna majina ya mkunda hapa upatikana Congo na Burundi atuambie asili yake wapi.

Asilli siyo tatizo. Tatizo lipo kwenye kufuata utaratibu unaokuwezesha kuwa raia wa Tanzania kama wewe mwenyewe au wazazi wako siyo raia wa asili.
 
M
Asilli siyo tatizo. Tatizo lipo kwenye kufuata utaratibu unaokuwezesha kuwa raia wa Tanzania kama wewe mwenyewe au wazazi wako siyo raia wa asili.
Mtu hawezi acha asili yake
 
Kwani wakimbizi NI WA Kongo warundi na wanyaruanda mbona hamsemi wasomali wakenya msumbuji Malawi na zambia

Wakimbizi ambao ni hatari ni wa Burundi na Rwanda, na hasa wa jamii ya watusi. Kwa sababu hawa kila wanapokuwa huwa wanataka kuteka dola. Na kwetu wamefanikiwa sana. Fikiria kuwa mpaka sasa tayari watu hawa, mmojawapo amefanikiwa kupata mpaka cheo cha Unaibu Waziri Mkuu, wakati ipo wazi akiwa waziri tu alifanya mambo ya ajabu, kuwanyang'anya vitalu vya madini Watanzania na kuwapa jamaa zake hao ambao siyo Watanzania, na kujitajirisha kwa kiwango kikubwa. Na sasa anatumia utajiri wake kuhonga maafisa wanaofanya vetting. Na bila shaka, sasa ataitumia nafasi aliyo nayo kuwajaza hao jamaa zake ndani ya Serikali.
 
M

Mtu hawezi acha asili yake
Kama nchi ipo makini, kama wewe siyo raia wa asili, unachunguzwa mwenendo na historia yako kabla ya kupewa uraia. Na kwa baadhi ya mataifa kuna nafasi ambazo huwezi kupewa.
 
TISS ya siku hizi ni takataka. Wamejaa wapigaji tu wanaowatishia watu ili wawape pesa. Hao wanaofanya vetting nao ni walaji wa rushwa wakubwa.

Yule aliyekuwa Waziri wa madini, kila kukitokea fununu za uwezekano wa Baraza la mawaziri kubadilishwa alikuwa anagawa kati ya 5m na 10m kwa kila mmoja ili wajaze sifa za kumpamba kwa mama. Na hiyo njia imefanya kazi maana leo kapewa mpaka cheo ambacho hakipo kwenye katiba.
???????🙄🙄🙄 Inafikirisha!
 
View attachment 2880164
General JJ Mkunda.

View attachment 2880166
Commissioner General Immigration Anna Makakala.




Jeshi la Wananchi Tanzania kupitia Mkuu wa Jeshi JWTZ, has again done us proud.

Mkuu wa Jeshi, CDF General Jacob John Mkunda amelezea tishio la usalama wa nchi kutoka angle ambayo kuna jeshi lingine lipo kwa ajili hiyo pekee, Jeshi la Uhamiaji.

Je ni kwamba Jeshi la Uhamiaji halijui tishio hilo la Ulinzi na Usalama kwa nchi, na kutoliweka hilo hadharani?

General Mkunda si tu amelezea kuwepo tatizo la wakimbizi wengi nchini waliokaa muda mrefu bila kurudishwa kwao, lakini kaweka wazi kuwa wamefanya utafiti kuwa kuna wakimbizi waliokaa nchini kwa muda mrefu kiasi kwamba watoto wao au wao wenyewe wameanza kupata vyeo vya kimaamuzi ndani ya serikali na taasisi za umma.

Tunamshukuru Gen JJ Mkunda kwa kuiona the bigger picture(Vision) ya kiusalama, vision mbayo Idara ya Immigration imeshindwa kuiona.

Hii natisha

Ulinzi ni pamoja na kuondoa threat ya the 5th Column, adui aliyepandikizwa from within.
Serikali isiposhughulikia hili kwa haraka itajilaumu yenyewe within 5 to 10 years.

Vile vile Jeshi la Uhamiaji lifumuliwe kwa kuota vitambi na kutofanya kazi iwapasayo.
Uhamiaji wanachojua ni kujipiga selfie tu
 
Back
Top Bottom