Jeshi la Uhamiaji wamenirudisha Nyumbani wakidai sipo Fiti. Nimepoteza dira ya maisha

Acheni kujitetea mnafanyaga punguzeni laanabasi
 
Utakiwi kufikiria yaliyopita yatakuumiza zaidi wala usiwaze kwenda KWA waganga utapotea zaidi Acha nature ifanye maamuzi. Ukiweza badili mazingira KWA mda pia ukajichanganye na chochote mtaani, huku ukiendelea kutuma cv sehemu na sehemu, pia ukiomba hata za kujitolea.
 
Relax best kwanza
 
Pole sana,
Itakuwa umefanyiwa figisu na nafasi yako kupewa mtu mwenye pesa yake.
Any way Usikate tamaa inaonekana unajua kupambana na maisha hasa biashara.
Nakushauri anza tena kidogo kidogo.
Nyota yako iko kwenye biashara huko kwenye ajira sio kwako.
Be strong.
 
Hivi hizi nafasi bila kuwa mtoto wa kigogo au bila kutoa kitu kidogo inaonekana ni ngumu sana kuzipata
 
Kila nikifikiria kwenye huu mkasa wa dada yetu Ñaumia sana.Samahani lakini maaana Mimi sipo Jeshini,je ulijifungua Kwa kawaida au Operation??...Ili tujue pengine ulikuwa na mshono..Maana Afya inaweza kuwa uko vizuri ila mara nyingi Mshono huwa hawataki...
 
huko nyanda za juu kusini ngo nyingi zilifutwa na bado zitaendelea kufutwa kwa sababu zina tuhuma za kuendeleza na kufundisha masuala ya ushoga. Kama NGO uliyofanyia kazi mlikuwa mnahamasisha mambo hayo, kuajiriwa katika mifumo ya serikali tena wizara ya mambo ya ndani....sahau.
 
Hapana nilijifungua kwa kawaida na sina alama yoyote kuhusiana na hilo.
 
Nashukuru sana mkuu,
 
Pole imeshatok ibad uwaz yajaYo
 
Hapana ngo niliyokuwa nafanyia ilikuwa inahusiana na maswala ya kilimo na lishe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…