Jeshi la Ukraine lasonga mbele kunyakua ardhi ya Urusi Kursk region

Jeshi la Ukraine lasonga mbele kunyakua ardhi ya Urusi Kursk region

5523

JF-Expert Member
Joined
Nov 13, 2014
Posts
2,275
Reaction score
2,410
Vita sasa inaingia kwenye sura mpya Ukraine anasonga mbele kujinyakulia maeneo ndani ya urusi, 1300km square kilometers

keyv.jpg
 
Waacheni wakajifie mbele kwa mbele.

Hivi mnafikiri hilo eneo wanaweza kuli secure kwa muda gani? Hivi mnaelewa jinsi wanavyozidi kuteka maeneo ndivyo jinsi inabidi waache askari wengi kwa ajili ya ku secure maeneo waliyochukua huku wengine wakisonga mbele zaidi?

Au mnafikiri wakichukua eneo wamechukua.

Je? Logistics zipo? Njia za kuingiza askari, silaha , chakuka na matibabu zipo?

Hao askari wa Kursk wameingia kwenye mtego wenyewe, watazunguka hapo weeee, mwishowe watachukuluwa mateka wengine kumalizwa, ni suala la muda tu.
 
Vita sasa inaingia kwenye sura mpya Ukraine anasonga mbele kujinyakulia maeneo ndani ya urusi, 1300km square kilometers.
Way Ukraine walipoingia Kursk, Urusi hakuangaika nao kivilee.Akili wakaielekeza Kursk,wakasahau mji WA porkovsk,huo mji ni muhimu kwao Kwa usambaji Kwa njia ya reli na Barbara.

Urusi alichokifanya ni kuuwahi huo mji,wale waliopo Kursk hawataenda mbele Wala kurudi nyuma.
🎶🎶🎶
Urusi imepiga hatua kubwa katika siku za hivi karibuni ambayo inatishia kuzidi mafanikio yaliyopatikana na Ukraine katika shambulio lake la mpakani kwenye eneo la Kursk.

Vikosi vya Urusi viko kilomita chache tu kutoka mji wa Pokrovsk wa Ukraine, ambao ni muhimu sana kwaajili ya usafirishaji unaotumiwa na jeshi la Ukraine.

Pokrovsk ni mji wenye kituo muhimu cha usafiri wa reli na barabara kuu, na ni sehemu muhimu ya usambazaji na uimarishaji kwa wanajeshi wa Ukraine waliopo mstari wa mbele kwa upande wa Mashariki.

Wakosoaji ndani ya Kyiv wanahofia kuwa jeshi la nchi hiyo limefanya makosa makubwa.
 
Way Ukraine walipoingia Kursk, Urusi hakuangaika nao kivilee.Akili wakaielekeza Kursk,wakasahau mji WA porkovsk,huo mji ni muhimu kwao Kwa usambaji Kwa njia ya reli na Barbara.

Urusi alichokifanya ni kuuwahi huo mji,wale waliopo Kursk hawataenda mbele Wala kurudi nyuma.
🎶🎶🎶
Urusi imepiga hatua kubwa katika siku za hivi karibuni ambayo inatishia kuzidi mafanikio yaliyopatikana na Ukraine katika shambulio lake la mpakani kwenye eneo la Kursk.

Vikosi vya Urusi viko kilomita chache tu kutoka mji wa Pokrovsk wa Ukraine, ambao ni muhimu sana kwaajili ya usafirishaji unaotumiwa na jeshi la Ukraine.

Pokrovsk ni mji wenye kituo muhimu cha usafiri wa reli na barabara kuu, na ni sehemu muhimu ya usambazaji na uimarishaji kwa wanajeshi wa Ukraine waliopo mstari wa mbele kwa upande wa Mashariki.

Wakosoaji ndani ya Kyiv wanahofia kuwa jeshi la nchi hiyo limefanya makosa makubwa.
Hatawaenda mbele watarudi nyuma kutoka 1km hadi 1000km hadi 1300km square, wataka kunambia Russia wao ardhi yao sio muhimu kwao kuchukuliwa lakini ni muhimu ya Ukraine, Ivi unafkiri Kursk putin amekuacha tu? Noo kapeleka majeshi kupambana kugomboa lakin ndio ivyo wanatelekeza na kutimua zao mbio, putin hana tena jeshi taaban nafsi yake

Aliingia mkataba na North Korea ili akivamiwa Urusi North Korea amsaidie lakini angalia kiduku alivyouchomoa, kaubana kimya hajampeleka mtu wake yeyote, putin anakufa peke yake alidhani vita ukraine ni kisahani cha chai, mwaka 3 unamaliza
 
Hatawaenda mbele watarudi nyuma kutoka 1km hadi 1000km hadi 1300km square, wataka kunambia Russia wao ardhi yao sio muhimu kwao kuchukuliwa lakini ni muhimu ya Ukraine, Ivi unafkiri Kursk putin amekuacha tu? Noo kapeleka majeshi kupambana kugomboa lakin ndio ivyo wanatelekeza na kutimua zao mbio, putin hana tena jeshi taaban nafsi yake

Aliingia mkataba na North Korea ili akivamiwa Urusi North Korea amsaidie lakini angalia kiduku alivyouchomoa, kaubana kimya hajampeleka mtu wake yeyote, putin anakufa peke yake alidhani vita ukraine ni kisahani cha chai, mwaka 3 unamaliza
Sasa mbona ukraine wameishia hapo hapo hawasongi mbele kama wanajeshi wanakimbia?

Unaposema urusi anapigana na ukraine inaonekana uko empty sana kwenye geopolitics.

Wanaopigana ni Urusi na mataifa 30 ya NATO. Sasa jiulize Urusi anauwezo kiasi gani kupambana na mataifa 30 at once?
 
Sasa mbona ukraine wameishia hapo hapo hawasongi mbele kama wanajeshi wanakimbia?
Ivi unajua eneo la kilometers 1300 square ukubwa wake?
Unaposema urusi anapigana na ukraine inaonekana uko empty sana kwenye geopolitics.

Wanaopigana ni Urusi na mataifa 30 ya NATO. Sasa jiulize Urusi anauwezo kiasi gani kupambana na mataifa 30 at once?
Nani kakwambia mataifa 30, Urusi anapiga na Ukraine tu, Putin alisema kama NATO wataingia ataanzisha vita ya nuclear.

Ivi mataifa 30 unayajuwa au unaongea pumba tu, kama hayo mataifa 30 yapo vitani na Urusi si lingeshabaki vumbi tu kule urusi
 
Back
Top Bottom