Kiranjajunior
Member
- Oct 10, 2023
- 96
- 152
Wanaposema kuingia ndani kilomita 1300 inamaanisha hivyo hivyoZipo nizitumie? Kama nimekosea hapo elekeza vzr wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaposema kuingia ndani kilomita 1300 inamaanisha hivyo hivyoZipo nizitumie? Kama nimekosea hapo elekeza vzr wewe
Chukua russia anakimbia.News za kisiasa. Kule tumesoma Ukraine inapoteza maeneo iliyoyateka kusk huku tunaambiwa imeongeza maeneo tena Russian wamekumbia wenyewe.. tuchukue lipi tuache lipi
semaji la Urusi umesikikaaUkraine 😂😂😂😂
Inajitekenya na kuchekaa...
hlf umevaa chupi made in chinaDah zeleboy bhana kichekesho sana 😆😆
Unamuambia km za unguja muulize kwanza keshafika zenji na akazunguka kisiwa cha unguja ukiachana na Russia kwanza1,300km square, Kisiwa cha Unguja ni square kilometers 1,666 nadhan sasa utapata picha halisi
Wewe na askari aliepo uwanja wa mapambano nani anayajua hayo uliyoyaeleza zaidi? Yaani wewe unayajua vizuri kuliko wale maJenerali wa Ukraine.Waacheni wakajifie mbele kwa mbele.
Hivi mnafikiri hilo eneo wanaweza kuli secure kwa muda gani? Hivi mnaelewa jinsi wanavyozidi kuteka maeneo ndivyo jinsi inabidi waache askari wengi kwa ajili ya ku secure maeneo waliyochukua huku wengine wakisonga mbele zaidi?
Au mnafikiri wakichukua eneo wamechukua.
Je? Logistics zipo? Njia za kuingiza askari, silaha , chakuka na matibabu zipo?
Hao askari wa Kursk wameingia kwenye mtego wenyewe, watazunguka hapo weeee, mwishowe watachukuluwa mateka wengine kumalizwa, ni suala la muda tu.
Lete maneno msemaji wa EUROPEsemaji la Urusi umesikikaa
Unaonekana we jamaa mweupee mweupee.Ivi unajua eneo la kilometers 1300 square ukubwa wake?
Nani kakwambia mataifa 30, Urusi anapiga na Ukraine tu, Putin alisema kama NATO wataingia ataanzisha vita ya nuclear.
Ivi mataifa 30 unayajuwa au unaongea pumba tu, kama hayo mataifa 30 yapo vitani na Urusi si lingeshabaki vumbi tu kule urusi
Lengo lao wafikie kinu cha nuclear kilichopo Kursk na wakidhibiti kama leverage ikitokea kuna makubaliano ya amani baina yao na Russia.Lengo lao ni lipi hapo?
Were simply abondoned.Vita sasa inaingia kwenye sura mpya Ukraine anasonga mbele kujinyakulia maeneo ndani ya urusi, 1300km square kilometers
View attachment 3089367
Ukraine kama demu alie ingia ghetto la mchizi alie kula vumbi la mkongo dozen nzima.. anatokaje hapoUnaonekana we jamaa mweupee mweupee.
Kuna mercenaries kibao wanaoletwa ambao sio mercenaries bali ni wanajeshi wa magharibi.
Pia ni Yes Putin anapigana na mataifa 30 kwasababu Ukraine anapatiwa usaidizi wa silaha na kifedha toka NATO.
Usisahau NATO na EU walimuwekea hadi vikwazo vya kiuchumi Russia ili asiweze kuwa na uchumi wa kupigana hiyo vita.
Na mind you Ukraine hatofika popote kwasababu Russia imeuzingira mji muhimu ambao ndio wa kusambazia vifaa na jeshi kwa Ukraine.
Kama sijakosea unaitwa Sumy.
Ukraine ataganda hapo hapo Kursk hakuna atakaposogea.
Na Porkovsk ikishatwaliwa ni anguko kubwa la jeshi la Ukraine.
Good move...Vita sasa inaingia kwenye sura mpya Ukraine anasonga mbele kujinyakulia maeneo ndani ya urusi, 1300km square kilometers
View attachment 3089367
Zeleskny mambo vipiMasikini Putin 😭 😭
Sumy ambapo Ukraien ndio anategemea kupitisha msaada kuingia Kursk kumewekewa zuizi.Ukraine kama demu alie ingia ghetto la mchizi alie kula vumbi la mkongo dozen nzima.. anatokaje hapo
Ukraine ni mfa maji.. Aisee mtaalamu Leo nilikuwa itigi, badae taboraSumy ambapo Ukraien ndio anategemea kupitisha msaada kuingia Kursk kumewekewa zuizi.
Ukitia pua tu guided munitions zinakushukia.
Sasa huyo mleta mada atujuze Ukraine itasongaje mbele na kufanikishaje lengo lake!??
Huyu muNATO wa bongo. Hii taarifa ni ya zaidi ya wiki tatu sasa. Bado wanaadvance 1,300 tu! Means hawasongi mbele sasa! Ya watu waachieni wenyewe.Waacheni wakajifie mbele kwa mbele.
Hivi mnafikiri hilo eneo wanaweza kuli secure kwa muda gani? Hivi mnaelewa jinsi wanavyozidi kuteka maeneo ndivyo jinsi inabidi waache askari wengi kwa ajili ya ku secure maeneo waliyochukua huku wengine wakisonga mbele zaidi?
Au mnafikiri wakichukua eneo wamechukua.
Je? Logistics zipo? Njia za kuingiza askari, silaha , chakuka na matibabu zipo?
Hao askari wa Kursk wameingia kwenye mtego wenyewe, watazunguka hapo weeee, mwishowe watachukuluwa mateka wengine kumalizwa, ni suala la muda tu.