Jeshi la Ukraine limekwama tena, waomba silaha

Jeshi la Ukraine limekwama tena, waomba silaha

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Katika hotuba yake ya usiku wa kuamkila leo raisi Zelensky amesema jeshi lake liko kwenye mapambano makali karibu na njia za kuelekea Sloviansk na Kramatosk eneo la Bakhmut, ambalo ni jimbo la viwanda la Donbas.

Kabla ya tangazo hilo hapo juzi askari hao wa Zelensky walikuwa wakilalamika kukosa mawasiliano ya uhakika kutoka kwenye satelite ya Ellon Musk. iitwayo starlink.

Hali hii imemfanya raisi huyo aombe misaada ya haraka ya silaha nzito kutoka nchi za Ulaya na Marekani.

1665290018217.png
 
Shabikia vita mitandaoni, katika uhalisi mitaani kila kitu bei zake zinaelekea juu, uvamizi wa Russia to Ukraine 🇺🇦 unatuletea shida sisi kuliko Ukraine na uzuzu uliopo kwa Middle class wa kitanzania hawatambui hili, panua wigo na angalia na kusoma kama social networks za nchi zingine hasa hapa Africa kama vijana wao wanajadili hii vita, wengi wao wanajadili maisha yao na jinsi ya kuyafanya yawe bora zaidi
 
Nilidhani wamekimbia, kumbe wapo wanakinukisha
Wakati wa Ukraine wanazidi kuuliwa maeneo waliyoingia kwenye hayo majimbo yaliyojitenga.

Mrusi karudi nyuma wa Ukraine wanaingia tu pasipo kujiuliza. Siku 3 Mrusi hajapigana kawaacha wameingia mpanga ndani kabisa.

Baada ya hapo Mrusi aka jam satellite ya starlink Ukraine walikuwa ndiyo wanaitegemea. Kinachofuata ni kipi? Matokeo yake ndiyo hayo Ukraine analalamika anapigana kama wapo gizani. Wanauliwa tu!

Vita ni mbinu!
 
Waukraine wakipiga kidogo kila mtu atajulishwa na kusifia HIMARS na nani aliyewapatia. Akipigwa analalamika sana na kuwatukana waliomnyima chochote.Keshawatukana wajarumani,wamarekani na mpaka kwao Israel.
 
Wakati wa Ukraine wanazidi kuuliwa maeneo waliyoingia kwenye hayo majimbo yaliyojitenga.

Mrusi karudi nyuma wa Ukraine wanaingia tu pasipo kujiuliza. Siku 3 Mrusi hajapigana kawaacha wameingia mpanga ndani kabisa.

Baada ya hapo Mrusi aka jam satellite ya starlink Ukraine walikuwa ndiyo wanaitegemea. Kinachofuata ni kipi? Matokeo yake ndiyo hayo Ukraine analalamika anapigana kama wapo gizani. Wanauliwa tu!

Vita ni mbinu!

Kwamba ukraine hawakuwa aware na ww arm chair expert general unajua zaidi kuliko majenerali waliko field?
 
Wakati wa Ukraine wanazidi kuuliwa maeneo waliyoingia kwenye hayo majimbo yaliyojitenga...
Hii kitu ina miezi ya kutosha. Kama ni vita kama ulivyoiita wewe anayestahili pongezi zaidi ni yule anayeonekana dhaifu.
 
Hii kitu ina miezi ya kutosha. Kama ni vita kama ulivyoiita wewe anayestahili pongezi zaidi ni yule anayeonekana dhaifu.
Unajua kwa nini huwa sijibu comment za watu wengine?

Kwa sababu ni wapuuzi na imetokana na puuzia.

Najiheshimu hivyo si mzawa wa maneno ya ajabu.

Msimamo wangu unaujua na mimi na wewe si mara ya kwanza kujadiliana katika hili. Utoto na kucheza cheza na maneno huwa sipendi.

Sikupunguzii wala sikuongezei chochote. Bila shaka umenielewa!
 
Jamaa baada ya kuambiwa zitadunguliwa satellite zake zote na S 500 abadili gia na kushauri peace talks
Hii naikumbuka.Ellon Musk katika hii vita ni kama Erdogan. Aliwahi kuwashauri waukraine watafute suluhu na iko siku pia aliwatahadharisha kuwa wasiyaaamini sana mawasiliano ya satelite zake kwani warusi anaweza akawaona walipo,kwa maana wakipatwa na balaa wasijemuangishia lawama.
 
Katika hotuba yake ya usiku wa kuamkila leo raisi Zelensky amesema jeshi lake liko kwenye mapambano makali karibu na njia za kuelekea Sloviansk na Kramatosk eneo la Bakhmut, ambalo ni jimbo la viwanda la Donbas.
Kabla ya tangazo hilo hapo juzi askari hao wa Zelensky walikuwa wakilalamika kukosa mawasiliano ya uhakika kutoka kwenye satelite ya Ellon Musk. iitwayo starlink.
Hali hii imemfanya raisi huyo aombe misaada ya haraka ya silaha nzito kutoka nchi za Ulaya na Marekani.
View attachment 2381204
 
Jamaa baada ya kuambiwa zitadunguliwa satellite zake zote na S 500 abadili gia na kushauri peace talks
Jamaa kawaambia Taiwan mapema kabisa kuwa wafanye mazungumzo ya amani na China mainland ili waweze kuungana kwa njia ya amani.
 
Back
Top Bottom