Jeshi la Ukraine limekwama tena, waomba silaha

Jeshi la Ukraine limekwama tena, waomba silaha

Shabikia vita mitandaoni, katika uhalisi mitaani kila kitu bei zake zinaelekea juu, uvamizi wa Russia to Ukraine [emoji1255] unatuletea shida sisi kuliko Ukraine na uzuzu uliopo kwa Middle class wa kitanzania hawatambui hili, panua wigo na angalia na kusoma kama social networks za nchi zingine hasa hapa Africa kama vijana wao wanajadili hii vita, wengi wao wanajadili maisha yao na jinsi ya kuyafanya yawe bora zaidi
Kwamba usipo yajadili maisha yatapungua au
RUSSIA aachwe apige kazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua kwa nini huwa sijibu comment za watu wengine?

Kwa sababu ni wapuuzi na imetokana na puuzia.

Najiheshimu hivyo si mzawa wa maneno ya ajabu.

Msimamo wangu unaujua na mimi na wewe si mara ya kwanza kujadiliana katika hili. Utoto na kucheza cheza na maneno huwa sipendi.

Sikupunguzii wala sikuongezei chochote. Bila shaka umenielewa!
Sawa.
 
Jamaa kawaambia Taiwan mapema kabisa kuwa wafanye mazungumzo ya amani na China mainland ili waweze kuungana kwa njia ya amani.
Amejistukia kwamba yeye tu tajiri pekee yake anayejiingiza kwenye mavita ya kisiasa,Bill gate katulia tu
 
Amejistukia kwamba yeye tu tajiri pekee yake anayejiingiza kwenye mavita ya kisiasa,Bill gate katulia tu
Jamaa ange tulia tu na kuachana kushindana na mataifa makubwa kwenye vitu vya maswala ya vita vita. ana paswa afocus na maswala ya biashara zaidi kama mwanzo.

Inshort jamaa yupo vizuri kwenye biashara ya usafiri wa anga za mbali aachane na migogoro ya kidunia.
 
Katika hotuba yake ya usiku wa kuamkila leo raisi Zelensky amesema jeshi lake liko kwenye mapambano makali karibu na njia za kuelekea Sloviansk na Kramatosk eneo la Bakhmut, ambalo ni jimbo la viwanda la Donbas.
Kabla ya tangazo hilo hapo juzi askari hao wa Zelensky walikuwa wakilalamika kukosa mawasiliano ya uhakika kutoka kwenye satelite ya Ellon Musk. iitwayo starlink.
Hali hii imemfanya raisi huyo aombe misaada ya haraka ya silaha nzito kutoka nchi za Ulaya na Marekani.
View attachment 2381204
Jinsia wabongo mnavyojidai wajuaji wa vita mtu anaweza
 
Back
Top Bottom