Sasa hali hii wao hawajalipuliwa na hilo bomu Ndoa za kileberali zimejaa America! Je wakilipuliwa? Si ndio kila siku utaskia rusha roho ndani ya Time squre New York!
Teh teh teh teh teh!
ukilipata bomu kama hilo afu ukaenda kulipiga bungeni!
ukilipata bomu kama hilo afu ukaenda kulipiga bungeni!
Tusianze kumbeza mtoa mada hadithi yenyewe iko hivi;
Kwakuwa wanaoenda vitani ni wanaume pekee mahala pengi duniani, hawa jamaa walibuni mbinu hii chafu ya kuweza kuwasababishia wapinzani waathirike na bomu hilo kwa kuamsha vichocheo vya kufanya ulawiti ili wao waweze kuwashambulia na kushinda vita.
Inasemekana kwamba mtu hata akiwa na mke wa mtu ikiwa mwenye mke akimfumania akili ya mfumaniwa huwa ni "kwanini asisubiri nimalize?" Sasa kama imetokea hali hiyo kwa mtindo wa bomu maana yake dozi ya kutaka kufanyiana sodomization ni kubwa yenye mtafaruku mkubwa sana ambao tungeuita ni kama JANGA fulani. Hata hivyo ombi hilo lilikataliwa kwa misingi kwamba lingeleta maangamizi makubwa sana hata nje ya eneo la vita.
Wabunge wa CCM watatafunwa!!!!
Tusianze kumbeza mtoa mada hadithi yenyewe iko hivi;
Kwakuwa wanaoenda vitani ni wanaume pekee mahala pengi duniani, hawa jamaa walibuni mbinu hii chafu ya kuweza kuwasababishia wapinzani waathirike na bomu hilo kwa kuamsha vichocheo vya kufanya ulawiti ili wao waweze kuwashambulia na kushinda vita.
Inasemekana kwamba mtu hata akiwa na mke wa mtu ikiwa mwenye mke akimfumania akili ya mfumaniwa huwa ni "kwanini asisubiri nimalize?" Sasa kama imetokea hali hiyo kwa mtindo wa bomu maana yake dozi ya kutaka kufanyiana sodomization ni kubwa yenye mtafaruku mkubwa sana ambao tungeuita ni kama JANGA fulani. Hata hivyo ombi hilo lilikataliwa kwa misingi kwamba lingeleta maangamizi makubwa sana hata nje ya eneo la vita.