Kang
JF-Expert Member
- Jun 24, 2008
- 5,655
- 2,506
Mwaka 1994 kituo cha utafiti cha Wright lab ambacho kiko chini ya jeshi la anga la Marekani kiliomba dola milioni 7.5 kufanya utafiti wa kutengeneza bomu la usenge!
Ambalo lingewafanya wanajeshi waanze kupendana na kuleta mtafaruku ndani ya majeshi ya upinzani.
Hata hivyo ombi hilo lilikataliwa.
The U.S. Military's Proposed "Gay" Bomb
Ambalo lingewafanya wanajeshi waanze kupendana na kuleta mtafaruku ndani ya majeshi ya upinzani.
Hata hivyo ombi hilo lilikataliwa.
The U.S. Military's Proposed "Gay" Bomb