LINGWAMBA
JF-Expert Member
- Sep 30, 2023
- 484
- 1,214
Umemsikia baba yake joshua lakini?Mkitandikwa mje tena kusifia humu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umemsikia baba yake joshua lakini?Mkitandikwa mje tena kusifia humu
Ilionekana mapema Toka pale Urusi alipopanga nae ngumi Uikrane,na kumgaragaza.amna mtu atakayeogopa tena marekani
Kasemaje mzee maana nasikia tu ila sijampataUmemsikia baba yake joshua lakini?
Yemen siyo Gaza unauwa watoto na nakushambulia makazi ya watu, Hamas wana makambora ya kienyeji tu lakini angalia mabasha zako wanavyokufa Yemen wana kila kitu Marekani siyo mjinga kukimbia wewe Muisrael mweusi shabiki mandazi hauna unalojua .Mkitandikwa mje tena kusifia humu
Haya kwani mnakawia kulia free palestine humu ngoja tu tuwaonye kwa mara nyingneYemen siyo Gaza unauwa watoto na nakushambulia makazi ya watu, Hamas wana makambora ya kienyeji tu lakini angalia mabasha zako wanavyokufa Yemen wana kila kitu Marekani siyo mjinga kukimbia wewe Muisrael mweusi shabiki mandazi hauna unalojua .
Itapigwa nuke moja pale tehranMi nadhani huu ndo ulikuwa wakati muafaka kwa Palestina kupata ardhi yake ni basi tu mataifa ya middle east hayajasanuka tu. Saizi marekani upepo umekata mkimu overload na migogoro mingi lazima atashindwa kumlinda Israel na atamuamuru kuanza mazungumzo ya amani na Palestina. Hivi leo nchi za middle zikiamua serious kuwage proxy war kupitia vikundi kama Hamas, Houthi na Hizbollah vikawa na uhakika wa supply ya kutosha ya makombora, na siraha zingine, Israel ataendelea kuwa na kiburi?
Macarrier yana makombora 90 ya kuyalinda, ukirusha makombora 100 chance ipo kuwa moja litaipiga!.Sku hayo macarrier yakizamishwa hata moja ndo itakuwa mwisho wa majigambo ..maana amna mtu atakayeogopa tena marekani ..ndo kitu anakilinda sana asijekupa aibu
Shida hao waarabu wakufanya hivyo wakuwapi mzeeeMi nadhani huu ndo ulikuwa wakati muafaka kwa Palestina kupata ardhi yake ni basi tu mataifa ya middle east hayajasanuka tu. Saizi marekani upepo umekata mkimu overload na migogoro mingi lazima atashindwa kumlinda Israel na atamuamuru kuanza mazungumzo ya amani na Palestina. Hivi leo nchi za middle zikiamua serious kuwage proxy war kupitia vikundi kama Hamas, Houthi na Hizbollah vikawa na uhakika wa supply ya kutosha ya makombora, na siraha zingine, Israel ataendelea kuwa na kiburi?
Kabisa United Shits Of Americant huko juu anakutwanga haswaMacarrier yana makombora 90 ya kuyalinda, ukirusha makombora 100 chance ipo kuwa moja litaipiga!.
Hayo ni madude ya zamani sana yanatishia nchi zisizojiweza, lakini akiyadeploy dhidi ya china au russia au hata India yanapigwa asubuhi na mapema tu!.
Nguvu kubwa ya maana iliyobaki ya Marekani ni air power na nukes zake. Kwenye airpower mmarekani anakuchakaza kwelikweli
Wewe Muisrael mweusi wa Singida povu linamtoka wasome Waosrel wa Tel Aviv siyo wewe taka taka.Itapigwa nuke moja pale tehran
Na huyu wa kuitwa USA huwa hana uvumilivu ipo siku atachoka kusemwa semwa afanye kweli sijui watasemajeItapigwa nuke moja pale tehran
Hivi kweli huyo USA akiamua kabisa kupambana kwa nguvu zote hao houthi wana uwezo wa kumhimili usa bingwa wa fitina na kuachia wenzake matatizoHouthi wanasema wana hamu ya kukabiliana na jeshi la wanamaji wa united Shits Of Americant huko bahari nyekundu yaani wanamtamani
United Shits Of Americant kastuka kama anaenda kupotezwa
Nilitegemea hizo fitina awafanyie wachuuzi wa gas urusi lakini mpaka Leo hazionekaniHivi kweli huyo USA akiamua kabisa kupambana kwa nguvu zote hao houthi wana uwezo wa kumhimili usa bingwa wa fitina na kuachia wenzake matatizo
Proxy war hua inaepusha vita direct kama hizo mkuu. Huwezi kui nuke Tehran wakati hauna hata uhakika 100% kwamba ndo anawa support HamasItapigwa nuke moja pale tehran
Kipindi cha Saddam Hussein nilijua marekani kayakanyaga bila viatu kilichofuata mpaka leo Iraq ni tabu tupuNgoja tuendanao taratibu wajisahau tena
Hivi ulidhania kweli kama israhell angeweza kupambana na hamas miezi mitatuHivi kweli huyo USA akiamua kabisa kupambana kwa nguvu zote hao houthi wana uwezo wa kumhimili usa bingwa wa fitina na kuachia wenzake matatizo