Tangantika
JF-Expert Member
- Aug 12, 2018
- 5,586
- 7,087
Nasikia USA kaanzisha vita Islael ili kuzuia Silk road project ya China. Maana Silk road itapita hapo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uchumi sio hoja, kwamba Marekani anaweza kupigana na dunia nzima na akashinda bila kukimbilia nuclear?Moja ya changamoto kubwa ni kwamba watu hawajui Marekani. Ule ni Muunganiko wa nchi 51 zenye uchumi mkubwa kuliko nchi yoyote Africa. Marekani hatishwi na nchi yoyote duniani
We unaita watu humu mdogo wangu wakati sisi ni Baba zako we bwege kweliAcha kumfananisha mzee wangu na watoto kama wewe
Ila kama umevuka miaka 40 niwie radhi
Kama bado utaendelea kua dogo mpaka kiama yaani 😎
Hiyo ilikua meli ya Urusi sio Marekani. Marekani karibu kila siku anatungua ant ship ballistic missiles za Houthi pale Red Sea.Mkuu makombora ya kisasa yanazamisha hizo meli dk tu. Kumbuka Meli kubwa ya urusi ilizamishwa na makombora ya Eukrain.
Vita za sasa hivi zimeonesha mateknolojia na mavifaa ya kisa mda mwingine ni bure.
Vita ni mbinu nyingi sio mimeli na midege ambayo inaweza shushwa mda wowote.
Kwani us ndio alovamia utawala haramu wa israhellNasikia USA kaanzisha vita Islael ili kuzuia Silk road project ya China. Maana Silk road itapita hapo.
Heheeeeee punguza jazba kijanaWe unaita watu humu mdogo wangu wakati sisi ni Baba zako we bwege kweli
Hiyo ilikua meli ya Urusi sio Marekani. Marekani karibu kila siku anatungua ant ship ballistic missiles za Houthi pale Red Sea.
U.S. assets, to include the USS LABOON (DDG 58) and F/A-18 Super Hornets from the Eisenhower Carrier Strike Group, shot down twelve one-way attack drones, three anti-ship ballistic missiles, and two land attack cruise missiles in the Southern Red Sea that were fired by the Houthis over a 10 hour period which began at approximately 6:30 a.m. (Sanaa time) on December 26. There was no damage to ships in the area or reported injuries.
View: https://twitter.com/CENTCOM/status/1739746985652158755?t=HNzJeGpL0PDImHOs70o6bA&s=19
Wazungu wenyewe ndio wansosema sasa wewe nani wa kubisha ? Tembelea media za nje. Mnapenda kubisha kila kituKwani us ndio alovamia utawala haramu wa israhell
Hizo propaganda
Kwani wazungu ndio nani mzee si hao hao walisema iraq kuna WMD na wakamuua sadam vipi hizo WMD zilionekanikaWazungu wenyewe ndio wansosema sasa wewe nani wa kubisha ? Tembelea media za nje. Mnapenda kubisha kila kitu
Upo wapiUongo tu......Leo boti tatu za houth zimelipuliwa .........muungano upo na watatandikwa vibaya
Sasa unaongea nini wewe mavurunza........hizo meli za us si waziteke sasa au azitekeki.....? Mnakamata meli ambazo hazina hata gobole la mkoloni........ninyi si wajanza ....... mmeletewa Azam sea taxi kama za ferry leteni jeuri muoneUpo wapi
Zilizopo ni meli za United Shits Of Americant ambazo zipo tokea zamani kabla ya hii ishu
Hakuna meli za muungano uache kubisha bisha
Wewe una taarifa nyingi kuliko wazungu wa ulaya ? Taarifa zenyewe unasubiri CNN, BBC, AL-JAZERRA. GOOLE, YOU YUBE nk au unavyanxo vyako vya kuzimu. Au nipashe ?Kwani wazungu ndio nani mzee si hao hao walisema iraq kuna WMD na wakamuua sadam vipi hizo WMD zilionekanika
Na mimi sio nani wakubisha nimeuliza swali ambalo lipo wazi kabisa kwani us ndio aloivamia israhell
Wazungu waongo tu nawao kama watu wengine
Nimekuuliza waliotwambia kwamba iraq kuna WMD kina naniWewe una taarifa nyingi kuliko wazungu wa ulaya ? Taarifa zenyewe unasubiri CNN, BBC, AL-JAZERRA. GOOLE, YOU YUBE nk au unavyanxo vyako vya kuzimu. Au nipashe ?
Heheeeeee kijana mbona unaanza kutokwa povuSasa unaongea nini wewe mavurunza........hizo meli za us si waziteke sasa au azitekeki.....? Mnakamata meli ambazo hazina hata gobole la mkoloni........ninyi si wajanza ....... mmeletewa Azam sea taxi kama za ferry leteni jeuri muone