ID za kimkakati hizi, hivi mpo wangapi?Watu huko mitandaoni wanatamani kuskia kitu kitakacho wafurahisha mioyo yao juu ya chuki walizonazo dhidi ya serikali na Mama kwa ujumla..
Naomba niwathibitishie tu kuwa huo upumbavu wanaofikiria kuhusu Tamko hili LA jeshi letu Imara kamwe hautokaa utokee ktk serikali hii Sikivu na yenye hofu ya Mungu.
Mama ni Mpango na Chaguo LA Mungu bado yupoyupo sanaaa..
Wajinga saana hawa majamaaBaadhi yenu humu mkishaangalia habari za umavimavi wa Guinea na Chad mixer Kvant mnawazaga ujinga tu mkisikia neno JWTZ.
Wapi huko?ID za kimkakati hizi, hivi mpo wangapi?
Kaunga juhudi muda refu sana na kishapata uwazirikale ka jay z kabongo kaongokaongo hakaja twit ramli chonganishi hukoooo?
Muasisi ni Mzee MwendakuzimuKwa nini tunakuwa na hofu, na hofu hii ni nani ameiasisi?. Tujitafakari watanzania.
Wenye fununu wafunguke.
Kwa mujibu wa mtangazaji wa Star tv Aloyce Nyanda ni kwamba kesho JWTZ watafanya mkutano na waandishi wa habari ambapo watatoa Tamko Maalumu.
Source: Star tv The Big Agenda
Tunaomba wakaonge yao ya siasa hapana maana uadilifu umebaki jeshini tu toka muda
Watatoa tamko la jinsi watakachofanya maigizo ya December 9
True.... Inawezekana hayo ndiyo aliokuwa anayasema Pole x 2Kuna sehemu aliyepita alikosea napo nikuwahusisha kwenye serikali katika nyadhifa za kisiasa
Hakuna mwanajeshi mwenye ubavu mbele ya Kingai, Kingai ni zaidi ya CDFNafikili wanataka wakina Kingai na genge lake waeleze alipo komando waliompoteza na alipo Denis Urio
Huenda tukasikia kile alichosema atamwambia Mama faraghaKwa mujibu wa mtangazaji wa Star tv Aloyce Nyanda ni kwamba kesho JWTZ watafanya mkutano na waandishi wa habari ambapo watatoa Tamko Maalumu.
Source: Star tv The Big Agenda
WalishanogewaKuna sehemu aliyepita alikosea napo nikuwahusisha kwenye serikali katika nyadhifa za kisiasa
Hicho walichotaka kusema mi nadhani wangesema kupitia Wizara ya Ulinzi
Kweli hatupaswi kuwa na wasi wasi si wiki iliyopita alikuwa Lugalo kuongea na maafisa waandamizi pale?Samia tumbo joto, ushungi haukai wala haufungi.
sio simple kiasi hicho...Inawezekana ccm ndiyo byebyebyebye