Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sijakupata bado, unamaanisha kuwa kwa hawa askari kuangalia sehemu tofauti ndo jeshi halina nidhamu?, wewe umepitia jeshi?!. Rafiki usitoe hoja usiyooijua. Hapo ilikuwa ni wakati wa kutoa heshima kwa mgeni rasmi. Hao wanao angalia mbele ni right markers, wengine wote ndo wanatakiwa kuangalia upande wa mgeni rasmi. Huo ndo utaratibu wa kutoa heshima. Tafadhari fafanua huo u-shaghalanaghala ni upi, hoja yako ya awali siyo sahihi. Nadhani wewe ndo uko shaghalabaghala upstairs.
Kutuchafua wanaliita ni JWTZ lakini huku bara hatufanyi hivyo......yaani huyu anaangalia kule na huyu huku........hakuna nidhamu kabisa..................na mafunzo yaelekea ni duni............na wala hawaonyeshi ukakamavu..........hao ni wazenji tu........chenga twawala lakini mabao twafungwa.........what do you think?
Kutuchafua wanaliita ni JWTZ lakini huku bara hatufanyi hivyo......yaani huyu anaangalia kule na huyu huku........hakuna nidhamu kabisa..................na mafunzo yaelekea ni duni............na wala hawaonyeshi ukakamavu..........hao ni wazenji tu........chenga twawala lakini mabao twafungwa.........what do you think?
sijakupata bado, unamaanisha kuwa kwa hawa askari kuangalia sehemu tofauti ndo jeshi halina nidhamu?, wewe umepitia jeshi?!. Rafiki usitoe hoja usiyooijua. Hapo ilikuwa ni wakati wa kutoa heshima kwa mgeni rasmi. Hao wanao angalia mbele ni right markers, wengine wote ndo wanatakiwa kuangalia upande wa mgeni rasmi. Huo ndo utaratibu wa kutoa heshima. Tafadhari fafanua huo u-shaghalanaghala ni upi, hoja yako ya awali siyo sahihi. Nadhani wewe ndo uko shaghalabaghala upstairs.
...alafu sare walizovaa kama pajama!!!!!!!!!!!!!!![]()
Askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) , wakipita kwa heshima mbele ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi (SMZ), Dk. Ali Mohammed Shein, wakati wa maadhimisho ya miaka 47 ya Mapinduzi ya Zanzibar yaliyofanyika jana kwenye Uwanja wa Amaan, Unguja. (Picha na Haroub Hussein).
...alafu sare walizovaa kama pajama!!!!!!!!!!!!!!
sijakupata bado, unamaanisha kuwa kwa hawa askari kuangalia sehemu tofauti ndo jeshi halina nidhamu?, wewe umepitia jeshi?!. Rafiki usitoe hoja usiyooijua. Hapo ilikuwa ni wakati wa kutoa heshima kwa mgeni rasmi. Hao wanao angalia mbele ni right markers, wengine wote ndo wanatakiwa kuangalia upande wa mgeni rasmi. Huo ndo utaratibu wa kutoa heshima. Tafadhari fafanua huo u-shaghalanaghala ni upi, hoja yako ya awali siyo sahihi. Nadhani wewe ndo uko shaghalabaghala upstairs.
Nadhani umekosea ndugu. Ukitizama vizuri ni kwamba mstari wa mbele huwa wanatizama mbele wakati wa kutoa heshma kwa mgeni rasmi. Mistari mingine yote hutizama kulia. Hakuna walichokosea. Mimi sijapitia jeshi ila nimesoma shule ambayo tulikuwa tukifanya sherehe za shule kwa kuongozwa na bendi ya polisi na so nina ufahamu kidogo kuhusu kutoa heshima mbele na mambo kama hayoKutuchafua wanaliita ni JWTZ lakini huku bara hatufanyi hivyo......yaani huyu anaangalia kule na huyu huku........hakuna nidhamu kabisa..................na mafunzo yaelekea ni duni............na wala hawaonyeshi ukakamavu..........hao ni wazenji tu........chenga twawala lakini mabao twafungwa.........what do you think?
hivi kumbe vazi la hijabu ni dini.............i think hao waturuki government yao ni ya kiislam...........
unajua ukakamavu wa jeshi pia inategemea mikikimikiki walio kutana nayo...........
sasa zenji sijui hata kama waliwahi hata kupelikwa hata kusimamia amani nnchi yeyote............
so wapo full mdebwedo