Rural Swagga
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 1,643
- 1,172
hahahahaha,Ruta leo imekula kwako ,,,,,Umeenda chaka mbaya sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haiwezekani. Watapiganaje vita sasa katika mtindo huu wa nguo zinazoweza kushika miiba
Gama tatizo ni hiki kizazi cha Bongo Flavour hakijapitia JaKaTa (JKT), Rutashubanyuma kweli yuko nyuma. This is one of the smartest parade to be proud of.sijakupata bado, unamaanisha kuwa kwa hawa askari kuangalia sehemu tofauti ndo jeshi halina nidhamu?, wewe umepitia jeshi?!. Rafiki usitoe hoja usiyooijua. Hapo ilikuwa ni wakati wa kutoa heshima kwa mgeni rasmi. Hao wanao angalia mbele ni right markers, wengine wote ndo wanatakiwa kuangalia upande wa mgeni rasmi. Huo ndo utaratibu wa kutoa heshima. Tafadhari fafanua huo u-shaghalanaghala ni upi, hoja yako ya awali siyo sahihi. Nadhani wewe ndo uko shaghalabaghala upstairs.