Obimbo
Member
- Nov 17, 2020
- 35
- 36
Asalam Alekum ndugu zangu,
Naombeni ufafanuzi juu ya uhisika wa mamlaka ya Jeshi la Zimamoto katika taratibu za uombaji wa kibali cha ujenzi.
Nimekuwa nikisimamia ujenzi katika nyumba ya ibada mahala flani lakini watu hawa wamekuwa hawakauki katika eneo hili huku tukipigwa faini juu ya kutofuata utaratibu wao katika ujenzi.
Kupitia Mwongozo wa TAMISEMI juu ya vibali vya ujenzi ya mwaka 2018, katika sura ya 4, umetoa mtiririko wa wataalamu ambao watapitia mchoro huo kwa waombaji vibali lakini hao zimamoto hawamo.
Maswali yangu juu yao ni haya
1. Kama mwongozo huo haujawataja ni kwann waje kutusumbua wananchi tusio na hatia??
2. Kama ni matakwa ya Halmashauri kwann wasiwepo kwenyi list ya wakaguaji michoro kabla ya mhusika kupewa kibali cha ujenzi?
Nitafurahia nikipata mwongozo
Naombeni ufafanuzi juu ya uhisika wa mamlaka ya Jeshi la Zimamoto katika taratibu za uombaji wa kibali cha ujenzi.
Nimekuwa nikisimamia ujenzi katika nyumba ya ibada mahala flani lakini watu hawa wamekuwa hawakauki katika eneo hili huku tukipigwa faini juu ya kutofuata utaratibu wao katika ujenzi.
Kupitia Mwongozo wa TAMISEMI juu ya vibali vya ujenzi ya mwaka 2018, katika sura ya 4, umetoa mtiririko wa wataalamu ambao watapitia mchoro huo kwa waombaji vibali lakini hao zimamoto hawamo.
Maswali yangu juu yao ni haya
1. Kama mwongozo huo haujawataja ni kwann waje kutusumbua wananchi tusio na hatia??
2. Kama ni matakwa ya Halmashauri kwann wasiwepo kwenyi list ya wakaguaji michoro kabla ya mhusika kupewa kibali cha ujenzi?
Nitafurahia nikipata mwongozo