pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
Uovu haudumu,
Mama alikunywa sana damu za raia wake sababu ya ubaguzi wake, stahili yake
Mama alikunywa sana damu za raia wake sababu ya ubaguzi wake, stahili yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha undezi, fuatilia habari vizuriHawa warohingya ndio walikuwa wa kwanza kufanya mashambulizi ndipo mabudha wakawajibu kikamilifu, angalau kwa sasa kuna utulivu.
Hahahaa wakajibu kikamilifu au sio !!?Hawa warohingya ndio walikuwa wa kwanza kufanya mashambulizi ndipo mabudha wakawajibu kikamilifu, angalau kwa sasa kuna utulivu.
Unafkiri izo kodi za wananchi au misaada inayoletwa unatoa ww na babayo, tumia akili usitumie mafunza katika kufkiriaWewe Ustaadh acha kutulisha maneno ya uongo. Tungekua tuna wachukia, tungewajengea ule msikiti wa kule Chamwino Dodoma?
Si tungewafukuza watoto wenu kwenye shule zetu zinazo ongoza Kitaifa kila mwaka kwenye matokeo ya mitihani mbalimbali! Achilia mbali vyuo vyetu vikuu kama SAUT, RUCU, MWECU, nk. Kote huko mnasoma bila bughudha yoyote ile!
Tatizo uko msikitini mnafundisha chuki kuliko uislamu , hapo ndipo tatizo linapoanzaa , shule za kikristu au vyuo vya wakikristu havinaga ubaguzi wa kidini Hadi misikiti inaruhusiwa kujengwa Ila kwenye taasisi zenu mnawabagua watu kinyamaHakuna hata mkiristo mmoja Mtanzania anaeweza kujenga madrasa wacha chuo,hizo unazozisikia hizo zifuatilie ili uwajuwage wenyewe na wanasema kama hujui urizia iri upate kuereweshwa.
Yaani era inakotoka ikikatwa basi izo seminari zote zitageuka mazizi ya ng'ombe mbali ya makanisa nayo ni hivyo hivyo , sadaka ikianza kukata tunakimbilia kwenye ubunge kawe mbunge.
Ila hii misikiti unayoiona mbavu za mbuzi ata mtu mmoja anaingia anaswali na kutoka zake afu hakuna kulazimishana kuna kuhimizana,tatizo huelewi hizo tofauti za maneno hayo.
Tumia lugha nzuri kuthibitisha ukomavu wa kiakili kichwani mwakoUnafkiri izo kodi za wananchi au misaada inayoletwa unatoa ww na babayo, tumia akili usitumie mafunza katika kufkiria
Wamerudi tena kuchukua nchi? Dah hii nchi kiboko. Ia Aung San Suu Kyi analaumiwa kwa kufumbia macho mauaji ya Waislam pasipo kutia neno wala kukemeaJeshi la Myanmar limethibitisha kulidhibiti taifa hilo baada ya kumuweka kizuizini kiongozi wa taifa hilo Aung San Suu Kyi pamoja na wanasiasa wengine mapema hii leo.
Baada ya kumkamata kiongozi huyo kwa saa kadhaa, televisheni ya taifa imetangaza kuwa katika hali ya dharura kwa muda wa mwaka mmoja.
Aung San Suu Kyi, kiongozi wa Myanmar, ambaye chama chake cha National League for Democracy (NLD) kipo madarakani amekamatwa, msemaji wa chama amesema.
Hatua hiyo ilikuja wakati wa mvutano mkali kati ya raia na wanajeshi wakihofia jeshi kutawala.
Katika uchaguzi uliofanyika mnamo mwezi Novemba, chama cha NLD kilishinda kura nyingi lakini jeshi likadai kuwa kura zilikuwa zimeibwa.
Myanmar ambayo inajulikana kama Burma, ilikuwa ikiongozwa na jeshi mpaka mwaka 2011. Kwa miaka mingi, Bi Suu Kyi alikuwa katika kifungo cha nyumbani.
Wanajeshi walikuwa mitaani katika mitaa ya mji mkuu wa Naypyitaw pamoja na mji wa Yangon. Huduma za simu na mtandao zilizimwa katika miji mikubwa wakati televisheni ya taifa inasema kwamba kulikuwa na itilafu za kiufundi.
Tangu lini utawala wa kijeshi ukawa rafiki na masuala ya demokrasia - someni historia ya Barma, Taifa lilikuwa linatawaliwa kijeshi kwa maika mengi tangu Babake Aung San Suu Kyi apinduliwe na jeshi - jeshi liling'ang'ania madarakani mpaka UN na nchi za magharibi kuwekea shinikizo Serikali ya kijeshi kurudisha Serikali ya kiraia kupitia uchaguzi wa kidemokrasia vile vile na kumuondoa Aung San Suu Kyi kifungoni - masharti yote hayo yaliyetekelezwa kwa shingo upande, jeshi kikikasirika sana Bi Aung San Suu Kyi alipo shinda kiti cha Urais - lilikuwa ni suala la muda tu kabla ya jeshi kumpinduwa Aung San Suu Kyi na kumuweka kizuizini tena.Hamna udikteta usiokuwa na ukomo
Wewe nguruwe pori uwe makini kuvamia wanaume. Bora ukaja kwangu moja kwa moja nitakuvumilia. Ila ukivamia na wazazi wangu, kamwe sitakupa hiyo nafasi.Unafkiri izo kodi za wananchi au misaada inayoletwa unatoa ww na babayo, tumia akili usitumie mafunza katika kufkiria
Tuliza mpododo, kwani hao Rohingya wakishambulia watu wewe ulikuwa usingizini?Acha undezi, fuatilia habari vizuri
Sifiri wasengeWewe nguruwe pori uwe makini kuvamia wanaume. Bora ukaja kwangu moja kwa moja nitakuvumilia. Ila ukivamia na wazazi wangu, kamwe sitakupa hiyo nafasi.
Nitakuja nikunyonye m.a.v.i. mchana kweupe. Au uko kwenye siku zako?
Mimi ni mnyonyaji wa m.a.v.i! Waulize wenzako watakuambia. Huwa natumia muda mfupi sana.Sifiri wasenge
Madrasa imemvuruga huyo! Anavamia tu kila mwanaume anayemuona.Tuliza mpododo, kwani hao Rohingya wakishambulia watu wewe ulikuwa usingizini?
Madrasa ni tamshi LA kiarabu kwa kiswahili ni darasaMadrasa imemvuruga huyo! Anavamia tu kila mwanaume anayemuona.
Ww uliskia wp rohinya akishambulia mtu au ndio mada zenu hizo huko mnakoenda kila juma2Tuliza mpododo, kwani hao Rohingya wakishambulia watu wewe ulikuwa usingizini?
Mbwa Jike wewe. Unatafuta tu wanaume kijanja. Nitakunyonya m.a.v.i!! Sasa endelea tu kujipitisha kwenye anga zangu.Aaaa ok, kumbe nije nikunyonye mavi sio
Kwa kiswahili hilo neno lina muktadha tofauti.Madrasa ni tamshi LA kiarabu kwa kiswahili ni darasa
Huyu mama alipewa tuzo ya Nobel kwa kupinga utawala wa kijeshi kwa miaka mingi japo aliwekwa kizuizini muda mrefu.
Ila baadaye aliachiwa na chama chake kushika madaraka ila aliungana na wanajeshi pamoja na baadhi ya mabudha wenye msimamo mkali kwenye kampeni dhidi ya waislamu wa Rohingya ambapo maelfu waliuawa na wengine kuishia kwenye kambi za wakimbizi huko Bangladesh.
Sasa jeshi leo limemgeuka na kuangusha serikali yake, hii inaonyesha ushirika kati ya giza na nuru haudumu.