Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mama alipewa tuzo ya Nobel kwa kupinga utawala wa kijeshi kwa miaka mingi japo aliwekwa kizuizini muda mrefu.
Ila baadaye aliachiwa na chama chake kushika madaraka ila aliungana na wanajeshi pamoja na baadhi ya mabudha wenye msimamo mkali kwenye kampeni dhidi ya waislamu wa Rohingya ambapo maelfu waliuawa na wengine kuishia kwenye kambi za wakimbizi huko Bangladesh.
Sasa jeshi leo limemgeuka na kuangusha serikali yake, hii inaonyesha ushirika kati ya giza na nuru haudumu.
Tena ihamishiwe TanzaniaHivi kwanini Mynamar, Burma wasiihamishie Africa?
Hatachukua hatua gani wakati hana hata kauli yoyote ile kwenye jeshiKwa kitendo cha kuwafukuza wale warohingya kwenye nchi yao bila ya yy kuchukua hatua yoyote ya kivitendo na kuwaacha wakihanya ughaibun kimeonyesha uhalisia wa huyu mama.
Hakuwepo jeshin lkn alikuwepo serikalin wakat mabudha na wajeda wanawafurusha na kuwaua WarohingyaHatachukua hatua gani wakati hana hata kauli yoyote ile kwenye jeshi
Mama wala hana kosa lolote kwenye mauwaji ya wa Rohingya.tatizo lipo kwenye jeshi, kiongozi wa jeshi ana nguvu kushinda Raisi na huyu bi mkubwa.
Ndo maana bi mkubwa hakuweza kutoa kauli yoyote ile wakati jeshi lilipoanzisha operation kwa jamii ya wa Rohingya.