Jeshi laidhibiti Myanmar baada ya kumshikilia Aung San Suu Kyi

Hawa warohingya ndio walikuwa wa kwanza kufanya mashambulizi ndipo mabudha wakawajibu kikamilifu, angalau kwa sasa kuna utulivu.
Hahahaa wakajibu kikamilifu au sio !!?
 
Unafkiri izo kodi za wananchi au misaada inayoletwa unatoa ww na babayo, tumia akili usitumie mafunza katika kufkiria
 
Tatizo uko msikitini mnafundisha chuki kuliko uislamu , hapo ndipo tatizo linapoanzaa , shule za kikristu au vyuo vya wakikristu havinaga ubaguzi wa kidini Hadi misikiti inaruhusiwa kujengwa Ila kwenye taasisi zenu mnawabagua watu kinyama
 
Wamerudi tena kuchukua nchi? Dah hii nchi kiboko. Ia Aung San Suu Kyi analaumiwa kwa kufumbia macho mauaji ya Waislam pasipo kutia neno wala kukemea
 
Hamna udikteta usiokuwa na ukomo
Tangu lini utawala wa kijeshi ukawa rafiki na masuala ya demokrasia - someni historia ya Barma, Taifa lilikuwa linatawaliwa kijeshi kwa maika mengi tangu Babake Aung San Suu Kyi apinduliwe na jeshi - jeshi liling'ang'ania madarakani mpaka UN na nchi za magharibi kuwekea shinikizo Serikali ya kijeshi kurudisha Serikali ya kiraia kupitia uchaguzi wa kidemokrasia vile vile na kumuondoa Aung San Suu Kyi kifungoni - masharti yote hayo yaliyetekelezwa kwa shingo upande, jeshi kikikasirika sana Bi Aung San Suu Kyi alipo shinda kiti cha Urais - lilikuwa ni suala la muda tu kabla ya jeshi kumpinduwa Aung San Suu Kyi na kumuweka kizuizini tena.
 
Unafkiri izo kodi za wananchi au misaada inayoletwa unatoa ww na babayo, tumia akili usitumie mafunza katika kufkiria
Wewe nguruwe pori uwe makini kuvamia wanaume. Bora ukaja kwangu moja kwa moja nitakuvumilia. Ila ukivamia na wazazi wangu, kamwe sitakupa hiyo nafasi.

Nitakuja nikunyonye m.a.v.i. mchana kweupe. Au uko kwenye siku zako?
 
Hilo jeshi si tungeliazima walau kwa mwezi moja tu kwa sababu hujuma ya uchaguzi iliyofanyika hapa huko Myanmar ni cha mtoto.

Hiyo ndio adhabu stahiki kwa wanaohujumu haki ya wananchi kwa kuhujumu uchaguzi kisha kutawala bila ridhaa ya wananchi.
 
Mkuu malipo hapa hapa duniani tena wamuue tu kwani aliyofanya kwa Waislam wasio na hatia hayavumiliki ata kdg
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…