Jeshi laidhibiti Myanmar baada ya kumshikilia Aung San Suu Kyi

Hivi kwanini Mynamar, Burma wasiihamishie Africa?
 

Kibaya zaidi ushirika wake na jeshi katika kuwaangamiza waRohingya umemuondolea sifa yake kuu aliyotunukiwa Nobel PP. Sasa hakuna anayetamka jina lake tena. Mataifa yanadai jeshi la Myanmar lirejeshe utawala wa kidemokrasia kama awali bila kusisitiza mama aachiwe huru.

Ukishahamia wrong side kisha ukatemwa, ni vigumu sana kuaminika tena na pande zote.
 
Sku jiwe nae atolewe hiv inakua n shangwe na, nderemo
 
Kwa kitendo cha kuwafukuza wale warohingya kwenye nchi yao bila ya yy kuchukua hatua yoyote ya kivitendo na kuwaacha wakihanya ughaibun kimeonyesha uhalisia wa huyu mama.
Hatachukua hatua gani wakati hana hata kauli yoyote ile kwenye jeshi
 

Huyu bibi kama alikna hawezi ku control jeshi wakati yeye ni raisi maana yake hafai kua raisi na alitakiwa kujiuzuru mara moja. Hawezi kukwepa lawana za mateso kwa wa rohingya chini ya utawala wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…