Umetulia kugezo Gani kusema Jw ni ya 6 kidunia,Ni kweli! Nadhani Jeshi letu liko vizuri tu, maana kama linashika namba 6 duniani kwa ubora, ni swala la kuwekeza tu katika Technology ya zana za kivita.
Lakini hata hivyo bajeti ni changamoto, na sijui Serikali inatenga kiasi gani kila mwaka katika bajeti kwa ajili ya Wizara ya Ulinzi!
Hata Rwanda wanatushinda, Nasikia Kagame analidharau jeshi letu mnoTUombe vita visitokee, hali ya jeshi letu tunaikuza, huo uzalendo wa karatasi na uongo sina, tunahitaji mafunzo zaidi na zana za kisasa, tuko nyuma mnoo
Nchi yetu ya amani bana, achana na midude hiyo....ulisikia vita tena toka 1979?View attachment 2788069
View attachment 2788073
Kati ya taasisi nyeti ninazoziheshimu na kuzienzi ni jeshi letu la JWTZ.
Limeonyesha ukomavu wake kwa miaka mingi sana hasa wakati wa vita ya ukombozi.
Ilipoingia 1978, November/December hadi 1979,jeshi lilipitia "baptism of fire" wakati wa Vita ya Kagera.
Kimsingi baada ya vita ile ikadhihirika kuwa Defence Policy iko safi na inafanya kazi katika mazingira ya wakati ule.
Najua leo jeshi liko complex kuliko wakati huo na lina vyuo vyake ambavyo ni Think Tanks, kama National Defence College pale Kunduchi.
Sasa leo kuna vita hivi vya Ukraine na vile vile Israel na Hamas.
Mbinu zilizo jitokeza na kuwa very effective katika kushambulia adui , ni matumzi ya Drones na Missiles.
Huko Ukraine drones zimekuwa a weapon of choice katika ku target sehemu za adui kwa pande zote.
Hamas juzi kwa vifaa ambavyo waweza kufikiri ni vya mchezo mchezo tu, katumia drones ambazo zimechakaza vibaya miuondombinu ya kijeshi ya Israel iliyokuwa mstari wa mbele.
Kwamba wameuawa wanajeshi zaidi ya 300 wa Israel, katika mashambulio ,hilo na jambo kubwa sana.
Maoni yangu ni Jeshi letu vile vile litazame upya Defence Policy yake ili matumizi ya vifaa hivi viweze kujumuishwa katika ulinzi wa nchi yetu.
Nawaza tu!
Hata Rwanda wanatushinda, Nasikia Kagame analidharau jeshi letu vibaya mnoTUombe vita visitokee, hali ya jeshi letu tunaikuza, huo uzalendo wa karatasi na uongo sina, tunahitaji mafunzo zaidi na zana za kisasa, tuko nyuma mnoo
Watutsi wapo jeshini wanajiita Wahaya mkuuHata Rwanda wanatushinda, Nasikia Kagame analidharau jeshi letu mno
Mkuu ile ya Hamas ni advanced military strategy ambayo hata Israel hawakuigikiria.Kwanini Israel miaka yote anasaidiwa na America, Uk; France na silaha kubwa zote wanazo. Lkn juzi wametekwa kama anakamatwa kuku ktk kibanda chake? Tujifunze kwamba Allah ni mkubwa sana
No. Hamas wanategemea Allah Isreal anategemea nchi za Magharibi ndio maana wanaishia kubomoa nyumba na watotoMkuu ile ya Hamas ni advanced military strategy ambayo hata Israel hawakuigikiria.
Hii inamaana basic strategical defence policy ya Israel imekuwa shattered.
Back to the drawing board.
Mimi nime quote maelezo ya afisa mjeshi mmoja alipokutana na Wasanii miezi michache iliyopita!Namba 6 Duniani au Africa masharik?
USA
GERMAN
FRANCE
UK
RUSSIA
CHINA
INDIA
IRAN
NORTH KOREA
UKRAINE
SAUDI ARABIA
TURKEY
Wewe ni potential sana,siku hizi licha ya drones kutumika katika uwanja wa vita,pia zinatumika sana usafirisha madawa ya kulevya.Mkuu mimi natengeneza sana hizi drone,sijui kwanini jwtz haitoi sapoti nifanye kazi nao.
Naweza kutuma drone dar nikiwa mwanza na haikosei nilipoituma.
Niko tanzania hii hii,wakinihitaji napatikana.
Sio kwamba sina kazi,nina ajira rasmi kabisa ya serikali.
Wakinihitaji naweza kuhamia hata kwao.
Ukilala salama na kuamka salama, ujue kuna watu hawalali ili wewe ulale na amani yako!"Hivi vikoplo usivione hivi, vikisikia vita vinajinyea bila kutaka" alisikika Afisa Mteule wa Jeshi akiwaambia waliokuwa wakitazama ubabe wa Coplo mmoja aliyekuwa anatishia kumgonga kwa Nissan afande wa barabarani mitaa ya Mlimani City
Kwamba unazijua zana zote na mafunzo ya jeshi letuTUombe vita visitokee, hali ya jeshi letu tunaikuza, huo uzalendo wa karatasi na uongo sina, tunahitaji mafunzo zaidi na zana za kisasa, tuko nyuma mnoo
Hii inasababishwa na mgawanyiko ndani ya nchi , wananchi ndo jeshi la Kwanza Mzee , Ukraine imefika hapo sababu ya public support , Marekani ameikimbia Afghanistan sababu ya public support, Taliban walikuwa wanakubalika na wananchi , ukikosa support ya wananchi hata uwe na jeshi imara kiasi gani lazima uchezee tuu , hii nch sa hv tumefikia hatua ya kudharauliana kikanda na kikabila , hyo ni worst mistake Sana , wakat wa Amani huwezi jua kama kuna tatizo , Ila ngoja shida ama vita itokee ndo utajua hujui hata kama Una jeshi imara utatepeta tuuTusije kuwa na Jeshi kama hili la Naijeria ya leo ambako Askari wanaiba mafuta kwenye Kifaru hadi kinazimika halafu wanakiacha kinatekwa na Boko Haram
Vita si lelemama, hausimami na kuamuru kupigana kama unavyodhani, kwanza na nani? Labda kwa kigezo cha wivu wa mapenzi.View attachment 2788069
View attachment 2788073
Kati ya taasisi nyeti ninazoziheshimu na kuzienzi ni jeshi letu la JWTZ.
Limeonyesha ukomavu wake kwa miaka mingi sana hasa wakati wa vita ya ukombozi.
Ilipoingia 1978, November/December hadi 1979,jeshi lilipitia "baptism of fire" wakati wa Vita ya Kagera.
Kimsingi baada ya vita ile ikadhihirika kuwa Defence Policy iko safi na inafanya kazi katika mazingira ya wakati ule.
Najua leo jeshi liko complex kuliko wakati huo na lina vyuo vyake ambavyo ni Think Tanks, kama National Defence College pale Kunduchi.
Sasa leo kuna vita hivi vya Ukraine na vile vile Israel na Hamas.
Mbinu zilizo jitokeza na kuwa very effective katika kushambulia adui , ni matumzi ya Drones na Missiles.
Huko Ukraine drones zimekuwa a weapon of choice katika ku target sehemu za adui kwa pande zote.
Hamas juzi kwa vifaa ambavyo waweza kufikiri ni vya mchezo mchezo tu, katumia drones ambazo zimechakaza vibaya miuondombinu ya kijeshi ya Israel iliyokuwa mstari wa mbele.
Kwamba wameuawa wanajeshi zaidi ya 300 wa Israel, katika mashambulio ,hilo na jambo kubwa sana.
Maoni yangu ni Jeshi letu vile vile litazame upya Defence Policy yake ili matumizi ya vifaa hivi viweze kujumuishwa katika ulinzi wa nchi yetu.
Nawaza tu!
Ikitokea Tanzania ikaingia vitani sasa hivi itackazwa mapema sana. Tazama adui anachimba mahandaki (underground tunnel) Zanzibar kupitia baharini na kuibukia kwenye ardhi yao ya Bagamoyo kisha wanarusha makombora magogoni, Tanga, Morogoro na Dodoma. Rwanda (M23 rebels)View attachment 2788069
View attachment 2788073
Kati ya taasisi nyeti ninazoziheshimu na kuzienzi ni jeshi letu la JWTZ.
Limeonyesha ukomavu wake kwa miaka mingi sana hasa wakati wa vita ya ukombozi.
Ilipoingia 1978, November/December hadi 1979,jeshi lilipitia "baptism of fire" wakati wa Vita ya Kagera.
Kimsingi baada ya vita ile ikadhihirika kuwa Defence Policy iko safi na inafanya kazi katika mazingira ya wakati ule.
Najua leo jeshi liko complex kuliko wakati huo na lina vyuo vyake ambavyo ni Think Tanks, kama National Defence College pale Kunduchi.
Sasa leo kuna vita hivi vya Ukraine na vile vile Israel na Hamas.
Mbinu zilizo jitokeza na kuwa very effective katika kushambulia adui , ni matumzi ya Drones na Missiles.
Huko Ukraine drones zimekuwa a weapon of choice katika ku target sehemu za adui kwa pande zote.
Hamas juzi kwa vifaa ambavyo waweza kufikiri ni vya mchezo mchezo tu, katumia drones ambazo zimechakaza vibaya miuondombinu ya kijeshi ya Israel iliyokuwa mstari wa mbele.
Kwamba wameuawa wanajeshi zaidi ya 300 wa Israel, katika mashambulio ,hilo na jambo kubwa sana.
Maoni yangu ni Jeshi letu vile vile litazame upya Defence Policy yake ili matumizi ya vifaa hivi viweze kujumuishwa katika ulinzi wa nchi yetu.
Nawaza tu!
Ni kweli! Nadhani Jeshi letu liko vizuri tu, maana kama linashika namba 6 duniani kwa ubora, ni swala la kuwekeza tu katika Technology ya zana za kivita.
Lakini hata hivyo bajeti ni changamoto, na sijui Serikali inatenga kiasi gani kila mwaka katika bajeti kwa ajili ya Wizara ya Ulinzi!
Stupid fool.Kwanini Israel miaka yote anasaidiwa na America, Uk; France na silaha kubwa zote wanazo. Lkn juzi wametekwa kama anakamatwa kuku ktk kibanda chake? Tujifunze kwamba Allah ni mkubwa sana